Naota nafanya mapenzi

Naota nafanya mapenzi

Naamini hapa ni mahali sahihi pa kushare mapito maana wapo waliopita wakashinda watatusaidia

Hata mimi ni mwanaume Lkn kila siku nimekuwa naota nafanya mapenzi na watu tofauti ninao wajua na nisio wajua.

Hii hali imekuwa ikinitesa sana. Wala si kwamba nimekuwa nawaza sana kwa habari ya mapenzi hapana lkn kila siku nikilala naota nafanya mapenzi na wanawake na mabinti tofauti.

Na nimewahi kusikia kuwa ndoto za hivyo mara nyingi huwa na madhara makubwa.

Nimekuja hapa kuomba msaada naamini kuna watumishi wa Mungu na mashehe pia na watu wa Mungu mbali.

Nawale ambao wamewahi kupitia hali hii walijitoaje ili wasiendelee kuota ndoto hizi ambazo wengi huwa wanasema (spiritual wife and husband)
Naomba msaada ndugu zangu

Naomba kuwasilisha wakuu
Umesema kuna watumishi wa Mungu na mashehe??
 
Namwaga kbs na nachukia maana unaamka umelowana kbs . Lkn pia wkt mwingine unakuwa km mnapapasana mimi sipendi sijui nifanyaje
Umesema una mke, mwambie awe anakuamsha usiku unammwagia ndo unaendelea na usingizi. Thanks.
 
Naamini hapa ni mahali sahihi pa kushare mapito maana wapo waliopita wakashinda watatusaidia

Hata mimi ni mwanaume Lkn kila siku nimekuwa naota nafanya mapenzi na watu tofauti ninao wajua na nisio wajua.

Hii hali imekuwa ikinitesa sana. Wala si kwamba nimekuwa nawaza sana kwa habari ya mapenzi hapana lkn kila siku nikilala naota nafanya mapenzi na wanawake na mabinti tofauti.

Na nimewahi kusikia kuwa ndoto za hivyo mara nyingi huwa na madhara makubwa.

Nimekuja hapa kuomba msaada naamini kuna watumishi wa Mungu na mashehe pia na watu wa Mungu mbali.

Nawale ambao wamewahi kupitia hali hii walijitoaje ili wasiendelee kuota ndoto hizi ambazo wengi huwa wanasema (spiritual wife and husband)
Naomba msaada ndugu zangu

Naomba kuwasilisha wakuu
Ogea chumvi kabla ya kulala hizo ndoto zitakata
 
Hilo ni tatizo mpendwa, linahitaji maombi ili ufunguliwe, ulishafungishwa ndoa na majini mahaba na yanakumiliki kihalali, nilikuwa na tatizo kama hili ila baada ya kufuata procedure za maombi tatizo lilikoma mpaka Leo, ni kweli kuna madharq makubwa, moja ni kwamba Leo ukifa utaenda motoni, maana una uhusiano na mapepo na roho yako imechafuliwa! Chukua hatua mapema na tatizo lako litakwisha, hamna kinachoshindikana kwa Jina la Yesu! Funga maombi ya siku 3 masaa 12, njoo whasap nikutumie vifungu vya biblia vya kutumia, ukimaliza kufanya maombi kwa kutumia hayo maandiko nitakayokupa, chukua sadaka yoyote kuanzia 100/= na kuendelea ambyo moyo wako utakutuma kuitoa iombee hiyo sadaka kwenye ulimwengu wa roho ni mahari waliotoa hayo majini kukumiliki wewe, ukiombea hiyo hela mpelekee mchungaji wako wa kiroho, hiyo hela kwenye ulimwengu wa Roho inageukq kuwa mahari na itarudishwa baada ya hapo utawekwa kuwa huru mpendwa! Madhara ya majini mahaba
1: kuwa na hasira
2: ndoa yako haitakuwa na amani
3: kutokufanikiwa katika maisha
4: maisha yako ya kiroho yanaathiriwa
Nk

Kwa maelezo zaidi njoo pm
Hujaniwekea namba ya WhatsApp mtumishi nitumie basi.
 
Ilo ni pepo mazee na kama ni kila siku ila kama ni mara moja moja ni hali tu ya mwili, kama nakuona unavyoteseka linakuja lina kurestrain ufurukuti linajipiga mishindo utaona kabisa unanyonywa denda linajipump ,unamwaga wazungu ukimwaga tu ndo unarudi conscious
Sometimes adi lenyewe linakojoa utahisi kimiminika kimekuchuruzikia ila ukigusa iyo sehem unakuta pakavu ata sperm zako hazijafika. Na ni washenzi hata kiuchumi unayumba

Ukishtuka unachukia sana iyo hali , sasa mi iyo hali nilikuwa nayo kipindi fulani
Nikawa nakadiria muda wake saa tisa hadi kumi kuelekea kukucha nakuwa silali pono basi akija tu najihis mapigo ya moyo yanaenda mbio gafla tu alafu nahis kama kitu kinanizonga kuanzia puani
Basi mi nakausha tu huku nakemea kimoyo moyo kinasepa , akija anakufreez uwezi ongea wala kujitingisha

Sa siku fulani nikahisi uume umeshikwa yani ulishikwa kabisa nikakurupuka chap nilisonya nikatukana nikasema katafute type yako 🤭 nikasali kidgo nikalala

Zikapita miezi likaniotea nashtuka tu nazihis zinachuruzika na nilipambana sana kujinasua

Hadi sasa imepita muda sijaona iyo hali
Ila nahis bado lipo maana mademu huwa wananikwepa kila apointment lazima ivunjike nikisex dushe linauma kinyama,usiku nashtuka sana ko linanilia tyming
Spending hiyo hali mkuu basi tu
 
Bila
Naamini hapa ni mahali sahihi pa kushare mapito maana wapo waliopita wakashinda watatusaidia

Hata mimi ni mwanaume Lkn kila siku nimekuwa naota nafanya mapenzi na watu tofauti ninao wajua na nisio wajua.

Hii hali imekuwa ikinitesa sana. Wala si kwamba nimekuwa nawaza sana kwa habari ya mapenzi hapana lkn kila siku nikilala naota nafanya mapenzi na wanawake na mabinti tofauti.

Na nimewahi kusikia kuwa ndoto za hivyo mara nyingi huwa na madhara makubwa.

Nimekuja hapa kuomba msaada naamini kuna watumishi wa Mungu na mashehe pia na watu wa Mungu mbali.

Nawale ambao wamewahi kupitia hali hii walijitoaje ili wasiendelee kuota ndoto hizi ambazo wengi huwa wanasema (spiritual wife and husband)
Naomba msaada ndugu zangu

Naomba kuwasilisha wakuu
Bilali picha ni uzushi
 
Uko sawa kbs lkn kupata mtumishi wa kweli kwa leo ni kz naambae atakusaidia ningumu kwa sasa
Omba mwenyewe, tatizo watu hatutaki kujifunza principles za maombi....!

Fata Principles omba mwenyewe....!
 
KAMA USHAWAH KUSIKIA JINI MAHABA BAS NDO ILO, UKWELI USIOPINGIKA UNA JINI MAHABA NDUGU YETU, NI JINI ALIYEKUPENDA NA KUKUFANYA WEWE NI MPENZI WAKE, ANAKUFATA USIKU KWENYE NJOZI NA KUKUPA PENZI, ATAKUFANYA USIOE WALA KUOLEWA KWA MWANAMKE, NA UZAZI PIA KUWA MGUMU.

Sent from my CMA-LX1 using JamiiForums mobile app
 
KAMA USHAWAH KUSIKIA JINI MAHABA BAS NDO ILO, UKWELI USIOPINGIKA UNA JINI MAHABA NDUGU YETU, NI JINI ALIYEKUPENDA NA KUKUFANYA WEWE NI MPENZI WAKE, ANAKUFATA USIKU KWENYE NJOZI NA KUKUPA PENZI, ATAKUFANYA USIOE WALA KUOLEWA KWA MWANAMKE, NA UZAZI PIA KUWA MGUMU.

Sent from my CMA-LX1 using JamiiForums mobile app
Hakika unakuwa huna mzuka ata wa kuoa kila mchumba anaepatikana mnapishana pesa hupati hasira kemkem yani she is very messy as f word
 
Ilo ni pepo mazee na kama ni kila siku ila kama ni mara moja moja ni hali tu ya mwili, kama nakuona unavyoteseka linakuja lina kurestrain ufurukuti linajipiga mishindo utaona kabisa unanyonywa denda linajipump ,unamwaga wazungu ukimwaga tu ndo unarudi conscious
Sometimes adi lenyewe linakojoa utahisi kimiminika kimekuchuruzikia ila ukigusa iyo sehem unakuta pakavu ata sperm zako hazijafika. Na ni washenzi hata kiuchumi unayumba

Ukishtuka unachukia sana iyo hali , sasa mi iyo hali nilikuwa nayo kipindi fulani
Nikawa nakadiria muda wake saa tisa hadi kumi kuelekea kukucha nakuwa silali pono basi akija tu najihis mapigo ya moyo yanaenda mbio gafla tu alafu nahis kama kitu kinanizonga kuanzia puani
Basi mi nakausha tu huku nakemea kimoyo moyo kinasepa , akija anakufreez uwezi ongea wala kujitingisha

Sa siku fulani nikahisi uume umeshikwa yani ulishikwa kabisa nikakurupuka chap nilisonya nikatukana nikasema katafute type yako [emoji2960] nikasali kidgo nikalala

Zikapita miezi likaniotea nashtuka tu nazihis zinachuruzika na nilipambana sana kujinasua

Hadi sasa imepita muda sijaona iyo hali
Ila nahis bado lipo maana mademu huwa wananikwepa kila apointment lazima ivunjike nikisex dushe linauma kinyama,usiku nashtuka sana ko linanilia tyming
Du mkuu hii mbona inaonekana ni kweli kabisa
 
Yaani una bahati ya kula raha kwa kufanya mapenzi bila gharama yoyote halafu unalalamika?
 
Izo ni ndoto km ulivyosema ila uko unapotaka kupewa utapewa na utaogopa
Ni vema uache iendelee kua ndoto sabu ni ndoto
Ila kuanza kutafta maana ya ndoto uwo ni uchawi
 
Mkulungwa leo kula Vega na maji mengi sana.Msubiri huyo mjinga anayekuijia ndotoni hatarudia.
 
Back
Top Bottom