Naota nafanya mapenzi

Unamaanisha we ndo wale wageni ambao hamtakiwi kulazwa chumba kimoja na watoto
 
Pole Sana Kwa changamoto unayopitia mtafute Kiongozi wako WA dini atakufanyia maombi na hiyo aliitakwisha ,unaitaji msaada WA Mungu Kwa ajili ya Jambo ili
 
Akizingatia hayo atapona.
 
Hii haijaenda hii!

Hakuna spiritual husband and wife.

Mwanaume mwenye afya nzuri ni lazima uote unafanya mapenzi, tena mara kwa mara.
Sio kweli, kama hufanyi lazima uote lakini km ni mzee wa migegedo ndo utaona na utachafua mashuka kabisa.
 
Tenaaa[emoji23]
 
Unaweza kuwa sahih

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Maybe it's spiritual and maybe just maybe ni upungufu wa mbususu mwilini unakufanya uote ndoto za mzagamuo.Hebu jaribu kula pussy Kwa bidiii uone kama hiyo hali itaendelea,..pole.
 
Naomba msaada ndugu zangu
Tafuta sogea tuishi uanze kuishi nae, huo ndio msaada

Ukiwa Mwislamu Mahari Juzuu 1 tu au na Msaafu 1 unachomwa ubani unachukua Mwali

Ukiwa Mkristu jiandae ng'ombe 10/15/20 na kati ya hao asikosekane mwenye mimba bado mkaja wa Bibi, Koti la Babu, bila kuwasahau wajomba na Mashangazi

Kazi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…