Naota napigana nashtuka nmepiga ukuta damu zinatoka mkononi. Tatizo nn

Naota napigana nashtuka nmepiga ukuta damu zinatoka mkononi. Tatizo nn

Unafanya kazi gani? Isije ikawa za kiafande afande hizi...huwa wanapatwa na PSTD kutokana na matukio wanayofanya au kuona
 
Habarini za jioni jf. Ni mara ya tatu naota napigana nashtuka nakuta mkono Unatoka damu baada ya kupiga ukuta. Nahofia nkioa nitampiga ntakae kuwa nmelala nae. Nifanye nn kuondokana na hili tatizo
Ni mapigano halisi
Tafuta udongo mtakatifu Mwamposa changanya kwenye vyakula na vinywaji vyako kwa siku 40
Huku unampeleka shimoni😀
 
Ndugu ulikula lakini kabla hujalala???isije kuwa una tatizo la njaa au kula ugali usiku
 
Back
Top Bottom