Naota navamiwa na majambazi au wachawi

Naota navamiwa na majambazi au wachawi

Niko serious vibaya mno washikaji zangu huku ndani wengi wanazingua. Shida watu wanahisi simjui Yesu wao wanamjua zaid. Nna cheti cha Bible knowledge nimepita seminari na haipiti siku sijasoma Bible. Wanataka nimjue Yesu wamjuavyo wao juu juu

Kama una tafsiri ya hii ndoto nitashukur sana ila kama jibu niokoke bado hujajibu swali langu. .

Owk, cheti, kusoma seminary , na kusoma bible Kila siku haikufanyi ukajua Kila kitu. Hao wanaokuambia umjue Yesu Kuliko wao , wachukulie positive kwanza, ndio utaweza kujifunza, kuna kimoja wanaweza kukusaidia.

Wakati mwingine ukitaka msaada na unapita changamoto , jitahidi pia uonyeshe kuwa upo serious, cz Mtu anaweza kuwa na msaada na akapita kama haoni cz ya comment tu.

Kwenye utani weka utani by ktk vitu serious kuwa serious,
Sababu mwishon wa siku vita ni ya kwako na sio ya watu humu jamii forum.(hayo ni mawazo yangu)
***************************
Turud kwenye ndoto. Utu wako wa ndani lazima uwe na nguvu Ili uweze kupambana. Naendelea... Subiria
 
Owk, cheti, kusoma seminary , na kusoma bible Kila siku haikufanyi ukajua Kila kitu. Hao wanaokuambia umjue Yesu Kuliko wao , wachukulie positive kwanza, ndio utaweza kujifunza, kuna kimoja wanaweza kukusaidia.

Wakati mwingine ukitaka msaada na unapita changamoto , jitahidi pia uonyeshe kuwa upo serious, cz Mtu anaweza kuwa na msaada na akapita kama haoni cz ya comment tu.

Kwenye utani weka utani by ktk vitu serious kuwa serious,
Sababu mwishon wa siku vita ni ya kwako na sio ya watu humu jamii forum.(hayo ni mawazo yangu)
***************************
Turud kwenye ndoto. Utu wako wa ndani lazima uwe na nguvu Ili uweze kupambana. Naendelea... Subiria
Nasubiri muendelezo. ...
 
Ninachokulekeza ni jinsi ya kushinda vya kiroho ikiwa umelala.

Kitu Cha kwanza kabisa uombe Toba, kwaajili yako, family, ukoo, mahali unapolala (ardhi) mtaa. Na chochote kile ambacho kimefungua mlango

Shetan hapiti kama hana uhalali, hivyo Toba itakusaidia kumpa Mungu nafasi ya kukutetea. Kasome Daniel 9: 4-19( kaombe toba kupitia hii mistari, tumia damu ya Yesu inene rehema juu yako)

2
Utu wako wa ndani lazima uwe na nguvu ya kupigana vita, cz ukilala hutakiwi kulala usngiz utu wako wa ndani lazima uwe Macho


“lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake. ”
— Mathayo 13:25
Kulala usingiz wa mwilini ni sawa ila ndani uwe na nguvu Ili usipandikiziwe vitu visivyo sahihi.

Unapataje nguvu Kwa utu wako wa ndani Kwa kumuomba Mungu

“awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, #kufanywa imara# kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake #katika utu wa ndani. ”#
— Waefeso 3:16

3
Mungu akufundishe mikono yako vita ili uweze kupambana ktk vitu vya rohoni(Daudi alipewa)

“Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu yaupinda upinde wa shaba. ”

— 2 Samweli 22:35
“Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana. ”
— Zaburi 144:1

👆anayefundisha kupigana ni Mungu, hivyo jiombee.

4. Achilia damu ya Yesu ( nyunyiza katika kila kitu) Kwa Imani, Kwa kutamka,
Mfano ardhi, mwili wangu, nafsi yangu, na chochote kile ili vipigane upande wangu.
Waebrania 12:24


Paka damu ya Yesu ya pasaka ktk malango ya ndoto na muda malango ya nyumba yako,( Kwa kutamka kuwa napaka damu ya Yesu ya pasaka

Kutoka 12
¹² Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi Bwana.


¹³ Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri.

👆Akiiona damu(Yesu) hatoruhusu pigo Wala yule anaye haribu aingie ktk majumba yenu./ktk chochote unachotaka kilindwe

4
Mungu akusaidie kushinda vita vya kiroho hata uwapo ktk njozi

“Ndipo ulipowaambia watakatifu wako kwa njozi, Ukasema, nimempa aliye hodari msaada; Nimemtukuza aliyechaguliwa miongoni mwa watu. ”
— Zaburi 89:19

Omba hiyo.

#yeyote mwenye shida ya njozi na akiota hawezi kupigana, aombe hiyo# jiombee Mara Kwa Mara na usome Neno la Mungu ( bible) Kwa msaada wa Roho Mtakatifu

Ukiomba kwa Imani na mara nyingi, utajikuta unaweza kuomba vizuri kabisa, ukiwa umelala usingizi, na unashinda hukohuko ktk ndoto



NB hakikisha unatengeneza na Mungu
 
Acha wenye kutafsiri ndoto waje kukufungulia hizo codes mkuu
Nimegundua watu wananipenda sana humu ndani. Wengi wamenishauri vyema na kuniomba niokoke. Nawashukuru sana kikubwa wao wamefanya utume wao imebaki mimi kutekeleza. .

Dhumuni la kufungua thread hii ni kujua kama ndoto hii inaweza kuwa na maana yoyote kwenye ulimwengu wa kiroho?
 
Ninachokulekeza ni jinsi ya kushinda vya kiroho ikiwa umelala.

Kitu Cha kwanza kabisa uombe Toba, kwaajili yako, family, ukoo, mahali unapolala (ardhi) mtaa. Na chochote kile ambacho kimefungua mlango

Shetan hapiti kama hana uhalali, hivyo Toba itakusaidia kumpa Mungu nafasi ya kukutetea. Kasome Daniel 9: 4-19( kaombe toba kupitia hii mistari, tumia damu ya Yesu inene rehema juu yako)

2
Utu wako wa ndani lazima uwe na nguvu ya kupigana vita, cz ukilala hutakiwi kulala usngiz utu wako wa ndani lazima uwe Macho


“lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake. ”
— Mathayo 13:25
Kulala usingiz wa mwilini ni sawa ila ndani uwe na nguvu Ili usipandikiziwe vitu visivyo sahihi.

Unapataje nguvu Kwa utu wako wa ndani Kwa kumuomba Mungu

“awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, #kufanywa imara# kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake #katika utu wa ndani. ”#
— Waefeso 3:16

3
Mungu akufundishe mikono yako vita ili uweze kupambana ktk vitu vya rohoni(Daudi alipewa)

“Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu yaupinda upinde wa shaba. ”

— 2 Samweli 22:35
“Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana. ”
— Zaburi 144:1

👆anayefundisha kupigana ni Mungu, hivyo jiombee.

4. Achilia damu ya Yesu ( nyunyiza katika kila kitu) Kwa Imani, Kwa kutamka,
Mfano ardhi, mwili wangu, nafsi yangu, na chochote kile ili vipigane upande wangu.
Waebrania 12:24


Paka damu ya Yesu ya pasaka ktk malango ya ndoto na muda malango ya nyumba yako,( Kwa kutamka kuwa napaka damu ya Yesu ya pasaka

Kutoka 12
¹² Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi Bwana.


¹³ Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri.

👆Akiiona damu(Yesu) hatoruhusu pigo Wala yule anaye haribu aingie ktk majumba yenu./ktk chochote unachotaka kilindwe

4
Mungu akusaidie kushinda vita vya kiroho hata uwapo ktk njozi

“Ndipo ulipowaambia watakatifu wako kwa njozi, Ukasema, nimempa aliye hodari msaada; Nimemtukuza aliyechaguliwa miongoni mwa watu. ”
— Zaburi 89:19

Omba hiyo.

#yeyote mwenye shida ya njozi na akiota hawezi kupigana, aombe hiyo# jiombee Mara Kwa Mara na usome Neno la Mungu ( bible) Kwa msaada wa Roho Mtakatifu

Ukiomba kwa Imani na mara nyingi, utajikuta unaweza kuomba vizuri kabisa, ukiwa umelala usingizi, na unashinda hukohuko ktk ndoto



NB hakikisha unatengeneza na Mungu
Nimetokea kukupenda sana DIVINE. Umechukua msa wako kuniandikia na kunishauri sina cha kuongeza. Habari njema imenifikia. Thank you dearest 😊
 
Nimetokea kukupenda sana DIVINE. Umechukua msa wako kuniandikia na kunishauri sina cha kuongeza. Habari njema imenifikia. Thank you dearest 😊
Karibu, bt Kuna divine wawil humu. Yangu ni Divine...
Usiache kuomba sasa
 
I am Christian, Roman catholic. Napiga maombi sana ila hapa kati ninapitia changamoto za kiimani. Ngoja nikatoe sadaka kanisani. .
Safi, na Pole kwa changamoto...
Ikiwezekana uombe na maji ya baraka, uwe unanyunyuzia kitandani au kuzunguka nyumba b4 you go to bed. ...hiyo ni roho chafu inakusumbua... there must be something .... inatakiwa ulikemee hilo pepo....

Nna ushuhuda wa hayo madude mimi....
Ni pepo chafu tu..
 
Leo nimeota namezwa na chatu,yaani nikapambana kweli kweli,maana hadi pumzi ilikua inakata,baada ya hapo nikashituka mwili umechoka sana,jamani hii sehemu nahisi kabisa kuna walozi wengi sana...

Nimekua naota,kama nakabwa na mtu hivi, then napambana usingizini hadi naamka na nikiamka najikuta nimechoka mwili hadi kazi kwenda naona shida, jamani hebu naombeni wataalam wa hizi mambo mnisaidie
 
Back
Top Bottom