Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha🤣 motoni kuna siti zenu wewe na Johnnie Walker Tena ni za moto hatari🤣🤣Hahahhaha alafu Gily et anakusingizia unatembea na kisamvu kwenye ganda la kiberiti
Hajui dada yake shape hana alafu anaomba range Rover
Huku kwangu asipiteeee kabisa atarudi kiwete
Niko serious vibaya mno washikaji zangu huku ndani wengi wanazingua. Shida watu wanahisi simjui Yesu wao wanamjua zaid. Nna cheti cha Bible knowledge nimepita seminari na haipiti siku sijasoma Bible. Wanataka nimjue Yesu wamjuavyo wao juu juuNilitaka niandike kitu bt nimepita comment nimehisi haupo serious na hizo ndoto, na hata kama ni kweli unaota bado hazijakuchosha au hazijakufika kooni,ili uhitaji msaada Kwa kumaanisha , samahan lakini hayo ni mawazo yangu tu
Hili jibu kuna mzee nilimshirikisha mtaani akaniambia wachawi wamaweza chungulia dirishan hata wakiwa makwao. Ila nilipuuzia ngoja nimulize vizuri tena alimanisha nini. .UKIONA UMEOOTA MTU ANAKUCHUNGULIA DIRISHANI. HUWA MARA NYINGI KUNA MCHAWI YUPO KARIBU YAKO MOST OF THE TIME
ILA KUHUSU UJAMBAZI SIJUI
SITANIII NAMAANISHA
Unaweza msikiliza shetani ila haimanish kuwa umemkabidh au umejikabidhisha kwake. Hata Yesu alijaribiw na shetan mara tatu mimi ni nani?Mfano mziki unapo kuskiliza hadi kujikuta zealous kabisa ndio wakati huo huo unakuwa unajikabidhi na kuabudu watu wa giza Sawa na Mfalme Daudi alipo kuwa akisifu na kuabudu Mungu hadi nguo zinamvuka na hakujua hilo mana alimuona Mungu na UFALME wake pekee.
Wanakopiga Bible wanaenda kinyume.
Kuwa makini na Movie, Mziki na michezo na Burudani pia.
View attachment 2591442
Naupataje kwanzaLini unautaka huo mkanda ?
😂😂😂 🍑🍆Dawa kumpakia mkongo mze
😂😂😂 Sisi ni Simba wewehaha🤣 motoni kuna siti zenu wewe na Johnnie Walker Tena ni za moto hatari🤣🤣
Dada zangu utawaona tu kwa picha nawaweka mbali na mbwa mwitu
Johnnie Walker anakufindisha ujinga😂😂😂 Sisi ni Simba wewe
Hao hawatoki kwamkapa lazima tuwapakate
Soma tena ndugu mvamiwa kuna kitu hujakinotisi.Unaweza msikiliza shetani ila haimanish kuwa umemkabidh au umejikabidhisha kwake. Hata Yesu alijaribiw na shetan mara tatu mimi ni nani?
Ndo unasusa au unanuna?Johnnie Walker anakufindisha ujinga
😂😂😂 Mkuu huyo jini anakunywa uji et🤣🤣 ila wewe na John mnaweza kuwa na akil moja kwa sababu huwezi ona jini anaitwa Agnesss
Toa namba wat tumalize mchezoJohnnie Walker anakufindisha ujinga
Hakikisha unamkunja saba akitoka aende kumsimulia kaka yake😂😂😂 🍑🍆
😂😂😂 embu acha kutishabwatu mbona kuna jini anaitwa Gily🤣🤣 ila wewe na John mnaweza kuwa na akil moja kwa sababu huwezi ona jini anaitwa Agnesss
Mkuu mtafute aliyekuumba ukimpata muabudu yeye peke yake wala usimfanyie mshirika wa karibu yake, huyo utatubu madhambi kwake moja kwa moja bila mtu wa katikati na tabu zote hizo zitabaki historia.Hakuna hata anayetaka kunitafsiria maana ya ndoto zangu 😔
Hili swala linaninyima raha sana. .
Shukrani sana ndugu yangu. .Mkuu mtafute aliyekuumba ukimpata muabudu yeye peke yake wala usimfanyie mshirika wa karibu yake, huyo utatubu madhambi kwake moja kwa moja bila mtu wa katikati na tabu zote hizo zitabaki historia.
asante.