Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Ubora hapo ni kitu gani,kutokupata kutu au kutokupauka,maana kuna mahali nimeona bati la ALAF limepauka na lina kutu nikabaki nimeduwaa kwa jinsi yanavyosifiwa....
Hivi huwa hakuna option ya kupaka rangi hizo bati za ALAF baada ya miaka kadhaa??
 
Hivi huwa hakuna option ya kupaka rangi hizo bati za ALAF baada ya miaka kadhaa??
Ukipenda unapaka halafu juu unaweka raisin ina ng'aa kama kioo.
Lakini kwanini ujipe tabu wakati wao wanazo walizopaka rangi na nzuri tu
 
Oohhhh.... Naipata huko huko ALAF au kwenye maduka yapi??
Nenda maduka ya vifaa vya unjenzi pia ni aina gani ya bati unataka kupaka rangi ?
Kama ni corrugated iron ili rangi idumu na ubora ni hadi inyeshewe mvua haswaa ndo Upake rangi
 
Nenda maduja ya vifaa vya unjenzi pia ni aina gani ya bati unataka kupaka rangi ?
Kama ni corrugated iron ili rangi idumu na ubora ni hadi inyeshewe mvua haswaa ndo Upake rangi
Asante Sana😋🙏🏾
 
Nenda maduja ya vifaa vya unjenzi pia ni aina gani ya bati unataka kupaka rangi ?
Kama ni corrugated iron ili rangi idumu na ubora ni hadi inyeshewe mvua haswaa ndo Upake rangi
Ni bati ya ALAF...
 
Ukipenda unapaka halafu juu unaweka raisin ina ng'aa kama kioo.
Lakini kwanini ujipe tabu wakati wao wanazo walizopaka rangi na nzuri tu
Yale mabati likipigw na jua linang'aaa ndo mazuri au?
 
Yale mabati likipigw na jua linang'aaa ndo mazuri au?
Hapana.
Mkuu bati nzuri ni kuyoka ALAF. Kuna baadhi ya watu hununua bati mpauko kisha kwa utashi wao huyapaka rangi kisha juu yake wakapaka raisin ili mng'ao uwe mkali zaidi. Ila ili ufanye hivyo inabidi hizo bati zipigwe mvua kwanza kwasababu ukipaka jinsi zilivyo rangi hubanduka.

N:B tabu yote ya nini kanunue complete Bati zilizo yatari ALAF.
 
 
Nimemaliza Kupiga Mbao, site yangu wameshakuja watu wa sales wa makampuni mbalimbali, na wamenipiga saundi za kutosha.

Mafundi nao waliopiga mbao wamenishauri ila walivyoona nimepagawa sielewi nitumie bati kampuni Gani wakaniambia wewe Bosi leta bati yeyote sisi tutapiga mana sijui tukushaurije.

Katika watu na makampuni niliongea nao Kila mmoja anavutia kwao, nimeamua Sasa nibaki na choises tatu tu ANDO, ALAF na Dragon mana nisije kuchizika.

Katika bei ukipanga Kwa namba 1, 2 ,3 wakwanza na wapili tofauti ya bei ni 2800 , wapili na watatu tofauti ya bei ni 3000, na wakwanza na watatu tofauti ya bei ni 5300 Kwa Kila MITA ya bati, Mimi nahitaji mita 600.

Sasa mabati yote ni mazuri, ila kati ya Ando, ALAF na Dragon nani Bora zaidi, hapa ndo mtego umejificha, makampuni mengi yanasema hiyo kampuni bei yao IPO juu c Kwa sababu ya ubora Bali ni kwasababu Wana brand kubwa.

Naombeni mnishauri, nichukue bati Gani ambayo itakuwa ni Bora zaidi kati ya hizo tatu hapo juu.
Tembea na Alaf
 
Back
Top Bottom