COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Jikamue JIMINYE, JIBANE NENDA ALAF MKUUALAF nimewacheki bei Yao imesimama hatari. Hivi hakuna kampuni nyingine inayozalisha mabati Bora Kwa bei ya kitanzania zaidi ya hao ALAF ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikamue JIMINYE, JIBANE NENDA ALAF MKUUALAF nimewacheki bei Yao imesimama hatari. Hivi hakuna kampuni nyingine inayozalisha mabati Bora Kwa bei ya kitanzania zaidi ya hao ALAF ?
Hivi huwa hakuna option ya kupaka rangi hizo bati za ALAF baada ya miaka kadhaa??Ubora hapo ni kitu gani,kutokupata kutu au kutokupauka,maana kuna mahali nimeona bati la ALAF limepauka na lina kutu nikabaki nimeduwaa kwa jinsi yanavyosifiwa....
Ukipenda unapaka halafu juu unaweka raisin ina ng'aa kama kioo.Hivi huwa hakuna option ya kupaka rangi hizo bati za ALAF baada ya miaka kadhaa??
Oohhhh.... Naipata huko huko ALAF au kwenye maduka yapi??Ukipenda unapaka halafu juu unaweka raisin ina ngaa kama kioo
Nenda maduka ya vifaa vya unjenzi pia ni aina gani ya bati unataka kupaka rangi ?Oohhhh.... Naipata huko huko ALAF au kwenye maduka yapi??
Asante Sana😋🙏🏾Nenda maduja ya vifaa vya unjenzi pia ni aina gani ya bati unataka kupaka rangi ?
Kama ni corrugated iron ili rangi idumu na ubora ni hadi inyeshewe mvua haswaa ndo Upake rangi
Ni bati ya ALAF...Nenda maduja ya vifaa vya unjenzi pia ni aina gani ya bati unataka kupaka rangi ?
Kama ni corrugated iron ili rangi idumu na ubora ni hadi inyeshewe mvua haswaa ndo Upake rangi
Ya migongo mdogo au mipana?Ni bati ya ALAF...
Yale mabati likipigw na jua linang'aaa ndo mazuri au?Ukipenda unapaka halafu juu unaweka raisin ina ng'aa kama kioo.
Lakini kwanini ujipe tabu wakati wao wanazo walizopaka rangi na nzuri tu
Hapana.Yale mabati likipigw na jua linang'aaa ndo mazuri au?
Usinunue mitaani.Chukua ALAF, pia wakati wa manunuzi hakikisha unanunua kwa wakala wao au ofisini kwao. Hapa utaepuka kuchanganywa hati madukani.
Tembea na AlafNimemaliza Kupiga Mbao, site yangu wameshakuja watu wa sales wa makampuni mbalimbali, na wamenipiga saundi za kutosha.
Mafundi nao waliopiga mbao wamenishauri ila walivyoona nimepagawa sielewi nitumie bati kampuni Gani wakaniambia wewe Bosi leta bati yeyote sisi tutapiga mana sijui tukushaurije.
Katika watu na makampuni niliongea nao Kila mmoja anavutia kwao, nimeamua Sasa nibaki na choises tatu tu ANDO, ALAF na Dragon mana nisije kuchizika.
Katika bei ukipanga Kwa namba 1, 2 ,3 wakwanza na wapili tofauti ya bei ni 2800 , wapili na watatu tofauti ya bei ni 3000, na wakwanza na watatu tofauti ya bei ni 5300 Kwa Kila MITA ya bati, Mimi nahitaji mita 600.
Sasa mabati yote ni mazuri, ila kati ya Ando, ALAF na Dragon nani Bora zaidi, hapa ndo mtego umejificha, makampuni mengi yanasema hiyo kampuni bei yao IPO juu c Kwa sababu ya ubora Bali ni kwasababu Wana brand kubwa.
Naombeni mnishauri, nichukue bati Gani ambayo itakuwa ni Bora zaidi kati ya hizo tatu hapo juu.
Migongo MipanaYa migongo mdogo au mipana?