Jamani, tusijidai wehu, ugonjwa huu upo na mm binafsi ni muhanga, wiki ya nne Sasa nipo kitandani Na bado cja recover vzr,
Dalili alizo ziongea huyo bwana ni za covid na pia mm hakuna dawa za mitishamba na hospital ambazo sijatumia, kila nilichoambiwa ni dawa nilinyookea bila hata kujali side effect,
Turudi kwenye point ya kupima, ni ujuha mtu mzima umevuta bangi zako kupinga hoja ya mtu eti kwasababu hajapima ku confirm ugonjwa, maabara inayo deal na covid ni moja tuu Tanzania na ipo Dar, kwa wa mikoani majibu hurudi baada ya 72 hours na kama ni Corona ya Sasa lazima utakuwa Usha kufa,
Sasa kinacho fanyika nikwamba, ukienda hospital na kumuekeza daktari akakukuta una dalili tatu t za covid yy anacho kifanya ni kuku suspect Kama mgonjwa wa covid na kukuchukua x-ray ya mapafu na akikuta yana shida hapohapo anaanza kuku treat Kama mgonjwa wa covid,
Binafsi mm nilifanyiwa hivyo ikiwemo kudungwa sindano 12 za Acef kwenye mshipa na kupewa antibiotics Kali sana ,pia kufanya mazoezi kila wakati, kula vizuri na kuhakikisha unatumia maji ya moto yenye limao Kama kinywaji Chako na matunda kwa wingi ilikupandisha Kinga ya mwili, usisahau kutumia vitamin C,
Sasa huyo anaesema et mpaka upimwe ni mwehu mpuuzeni kabisa,anaongea maana haijamkuta,kwa yeyote anaye taka ushauri asisite Kuni pm,mm ni muhanga wa covid.
[/QUOTEmkuu antibiotic ipi unatumia maana mm koo linawasha na mate yamekauka na nakohoa kikohozi kikavu.