#COVID19 Napambana na COVID-19 deadly Delta

#COVID19 Napambana na COVID-19 deadly Delta

Katiba iliyopo inatosha mkuu sasa hivi tunahangaika na kuimarisha uchumi. Kuhusu Corona tutaishi nayo kwa muda mrefu hata Baba zako WHO wameshasema. Hivyo fanyakazi achana na corona

Wewe si ushatia timu? Tunasubiri wenzio.

Hilo nalo gumu kusikia?
 
Sijapata confirm maana daktari alinambia ni wimbi la mafua na kunipatia dawa za flu na kikohozi. | Najitibia kwa kufuata kanuni mbalimbali toka vyanzo mbalimbali.
Sasa umejuaje kama ni corona?

Alaaah?

Siku hizi hata mtu akiumwa fangas za kinyeo anasingizia corona.

Wewe umeambiwa una mafua, lakini unashupalia corona!

Unataka kusemaje? Kadungwe chanjo basi!
 
Wewe nawewe chawa wa mwendazake umeshatia timu. Tunajua kama mlivyo:

1. Corona haipo
2. Hamtaki katiba mpya.

Tunasubiri wale wa mambo ya mikopo na misaada ya IMF. Bila shaka wako njiani.
Katiba iliyopo inatosha mkuu sasa hivi tunahangaika na kuimarisha uchumi. Kuhusu Corona tutaishi nayo kwa muda mrefu hata Baba zako WHO wameshasema. Hivyo fanyakazi achana na corona
 
Kupambana na COVID-19 hutakiwi kucheka na watu wapumbavu, unaweka strictly rules na ni lazima kufuatwa ndio tutaweza kuondosha.
Tapeli la chanjo wewe huna lolote!

Ugua pole hayo makorona yako ya kuigiza!

Sisi huku Buza tuko fiti hatari. Tunachapa kazi.

Nyie mijitu mivivu vivu msioweza kazi mmebaki na kazi moja tu ya kupigia chapuo machanjo ya wazungu.
 
Katiba iliyopo inatosha mkuu sasa hivi tunahangaika na kuimarisha uchumi. Kuhusu Corona tutaishi nayo kwa muda mrefu hata Baba zako WHO wameshasema. Hivyo fanyakazi achana na corona
IMG_20210711_205649_038.jpg
 
Habari 👋🏾

Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi...
Kama kweri una nia ya kusaidia watu wajifunze zaidi ungesema upo wapi hujaweka wazi sehemu uliyopo na huja kwenda hospital kupima unajihisi tu tutajua je sasa mkuu.
 
daahh rangi ya bluu ni kwamba oxgen level ilikuwa chini sana.
huu ugonjwa toka mwaka umeanza umeshaondoka na 4 family members akiwemo mamaangu!!
na hapa sshv naongea mwingine amelazwa na ventilator juu...
acheni maskhara kbs.
Poleni sana
 
Kwanza pole sana. Kupata hio ugonjwa haimaanishi kifo.

Kwamba uko hai hadi sasa kwa sababu ni mtu wa mazoezi?

Hakuna cha mazoezi hapo, ni Mungu tu anamlinda, akiamua kumchukua anamchukua na mazoezi yake.

Covid-19 ni hatari, tujilinde na tuachane na mikusanyinyiko isiyo ya lazima, vaa barakoa nawa mikono kila wakati.
 
Hakuna cha mazoezi hapo, ni Mungu tu anamlinda, akiamua kumchukua anamchukua na mazoezi yake.

Covid-19 ni hatari, tujilinde na tuachane na mikusanyinyiko isiyo ya lazima, vaa barakoa nawa mikono kila wakati.

Si ndio maana nimeuliza hapo kwamba kamanda bado anapumua kwa sababu anapiga mazoezi, nikasema kumbe watu kufa wanajitakia tu...
 
kwani haijawafikia tayari? mbona viongozi kina Kijazi waliondoka nayo? Basi tu hatuna waziri wa afya makini..alikua anahimiza nyungu..sasa hivi Rais yuko makini ndio kaanza kuhuburi watu wachukue tahadhari...matokeo yake watu wanapuuza guidelines...chanjo inaonekana kama sijui duddu gani
Mama wa watu anajitahidi kuhimiza lakini kuna viumbe bado vinamuona mpumbavu, wanamtukana na kumuona hana nia nzuri kwa wananchi.
 
Si ndio maana nimeuliza hapo kwamba kamanda bado anapumua kwa sababu anapiga mazoezi, nikasema kumbe watu kufa wanajitakia tu...
Yes! The Monk na BlackPanther ni Mungu ndiye anawezesha haya. Swali la monk nilijibu kwa tanabiha maana kwangu uwezo na utendaji wa Mungu upo automatically siku zote sioni kama jambo geni kutaja.
 
Habari 👋🏾

Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi...
TIBA YA CORONA VIRUS NA HOMA YA MAPAFU
lita 1 ya maji ya moto.

Vitunguu Saumu Punje 15.

Malimao 2. Ondoa mbegu tu usiondoe maganda yake kata pamoja.

Kitunguu Maji 1 Kikubwa.

Tangawizi mbichi Vipande 4 Saizi ya ukubwa wa kidole chako gumba.

Pilipli kali nyekundu 5.

Changanya vyote na kuweka katika Mashine ya blender saga kwa dakika 4 hadi 5. Kisha acha iwe baridi na uanze kuitumia
Kipimo kula Vijiko 2 kila masaa 6. Tumia siku 15 kwa maambukizi ya Corona Virus na Homa ya Mapafu.Umepona Maradhi yako.



SYMPTOMS OF COVID19.png
 
mkuu unataka kusema kwamba wale wanaopumulia ventilator walishindwa kupata hii dawa?labda uniambie inatibu kwa dalili za awali za covid 19

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Sio kila mtu anapenda kutumia dawa za asili kuna watu wana pesa zao hawataki kutumia dawa ya asili kuna masikini kama wewe au mimi sisi ni wajanja ndio tunao tumia dawa za na Asili.

Maradhi ya Corona ukingojea mpaka umezidiwa ndio utumie dawa huwezi tena kupona .Ukiona dalili tu tumia hiyo dawa utapona haraka.Usingojee Mpaka Mvua imekunyeshea ndio unatafuta taulo la kujifutia.
 
Habari 👋🏾

Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi...
Mwendazake aliwatia watu aumu kuwa COVID-19 Ni mchezo wa kuigiza
 
Sio kila mtu anapenda kutumia dawa za asili kuna watu wana pesa zao hawataki kutumia dawa ya asili kuna masikini kama wewe au mimi sisi ni wajanja ndio tunao tumia dawa za na Asili. Maradhi ya Corona ukingojea mpak umezidiwa ndio utumie dawa huwezi tena kupona .Ukiona dalili tu tumia hiyo dawa utapona haraka.Usingojee Mpaka Mvua imekunyeshea ndio unatafuta taulo ya kujifutia.
ooh hapo sawa nimekupata vema

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom