Kuvaa barakoa hakumsaidii mtu sana kama jamii nzima haivai, alichokisema mentality ya jamii ndiyo imepelekea yeye kuupata.Asante
Chukua tahadhari makinika, vaa barakoa ukitoka nje, nawa kwa maji tirirka na sabuni, epuka mikutano na msongamano, fanya mazoezi na toa elimu kila unapopita. UVIKO-3 ni hatari.