mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
hiyo pesa ndogo sana.Toka juzi hadi muda huu nimekwisha tumia TZS 150k+ madawa mbalimbali na vyakula hivi vya kusaidia kupambana. Naamini nitapona mapema kabla hali yangu ndogo ya uchumi kusumbua.
Kuna bilionea mmoja alikufa kwa kukosa ventilator na alikuwa tayari kuilipia kwa kuikodi au kuinunua kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app