Mazoezi yamekusaidiaje? Sijaelewa daraja maana mimi nilibanwa pia hata kutembea ilikuwa shida,wewe mazoezi ulifanyeje? Wiki ya tatu sasa nipo ndani japo 90% nimeponaKwamba?
"....... niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua ...."
pole sana mkuu.
Ndiyo mazingira ya nchi tuliyopewa bila kuyasahau mamburula yote.
Mola akakusimamie upone haraka ukaendelee na shughuli zako.
Unfortunately Niko mkoaniKama upo Dar Nenda SANITAS kwa Dr.Hussein Bhaloo... mwelezee kinagaubaga tatizo lako utapona... Amesaidia wengi sana... Wahi Number Nenda saa 12 na nusu yeye uanza saa 3 ana Wagonjwa wengi sana
Si lazima ufanye mazoezi makali mkuu, hata kama upo vibaya sana jitahidi kifanya kile unachoweza kufanya kw wakati huo, hata kitandani amka fanya uwezavyo, yanasaidia mzunguko wa damu na pia kuupa mwili jotoMazoezi yamekusaidiaje? Sijaelewa daraja maana mimi nilibanwa pia hata kutembea ilikuwa shida,wewe mazoezi ulifanyeje? Wiki ya tatu sasa nipo ndani japo 90% nimepona
this issue ni serious usilete mzaha mkuu haiepukiki.Tunazika hapahapa au tunasafirisha!?
Jamani, tusijidai wehu, ugonjwa huu upo na mm binafsi ni muhanga, wiki ya nne Sasa nipo kitandani Na bado cja recover vzr,
Dalili alizo ziongea huyo bwana ni za covid na pia mm hakuna dawa za mitishamba na hospital ambazo sijatumia, kila nilichoambiwa ni dawa nilinyookea bila hata kujali side effect,
Turudi kwenye point ya kupima, ni ujuha mtu mzima umevuta bangi zako kupinga hoja ya mtu eti kwasababu hajapima ku confirm ugonjwa, maabara inayo deal na covid ni moja tuu Tanzania na ipo Dar, kwa wa mikoani majibu hurudi baada ya 72 hours na kama ni Corona ya Sasa lazima utakuwa Usha kufa,
Sasa kinacho fanyika nikwamba, ukienda hospital na kumuekeza daktari akakukuta una dalili tatu t za covid yy anacho kifanya ni kuku suspect Kama mgonjwa wa covid na kukuchukua x-ray ya mapafu na akikuta yana shida hapohapo anaanza kuku treat Kama mgonjwa wa covid,
Binafsi mm nilifanyiwa hivyo ikiwemo kudungwa sindano 12 za Acef kwenye mshipa na kupewa antibiotics Kali sana ,pia kufanya mazoezi kila wakati, kula vizuri na kuhakikisha unatumia maji ya moto yenye limao Kama kinywaji Chako na matunda kwa wingi ilikupandisha Kinga ya mwili, usisahau kutumia vitamin C,
Sasa huyo anaesema et mpaka upimwe ni mwehu mpuuzeni kabisa,anaongea maana haijamkuta,kwa yeyote anaye taka ushauri asisite Kuni pm,mm ni muhanga wa covid.
[/QUOTEmkuu antibiotic ipi unatumia maana mm koo linawasha na mate yamekauka na nakohoa kikohozi kikavu.
Mkuu unailaumu jamii inayokuzunguka, hivi unafikiri mataifa yaliyoendelea idadi ya watu wanachukua precaution na still maambukizo yanaendelea tu tena kwa sana.Habari [emoji1480]
Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi.
Toka juzi jioni najihisi vibaya, napumua kwa shida, nimebwana kifua, mafua na kikohozi. Uwezo wa kusikia na kuona umepungua sana, nahisi maumivu katika mifupa na maungio ya mwili. Homa na koo kukabwa, kuwashwa, kuhisi damu ya baridi, jaws (tezi) kuwa na maumivu makali na ngozi kuakisi rangi ya bluu na kizunguzungu ni hali ninazopambana nazo.
Namna nahisi afya yangu kwa sasa, niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua tahadhari lah! Nimekuwa nikizingatia taratibu zote toka mlipuko huu kutokea Wuhan lakini nimekwamishwa na jamii ya watu walionizunguka.
Nimeorodhesha dalili na hali kuweza kusaidia mamlaka na watu kufahamu hali ilivyo. Hali ikiendelea hivi itatuchukua miaka 10 kupambana na COVID-19 ikiwa tumezungukwa na watu wenye mentality za hovyo na wasiojali wala kuchukua tahadhari.
Sergio [emoji195]
mzee bado mzima, au tayari? pole.Habari 👋🏾
Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi.
Toka juzi jioni najihisi vibaya, napumua kwa shida, nimebwana kifua, mafua na kikohozi. Uwezo wa kusikia na kuona umepungua sana, nahisi maumivu katika mifupa na maungio ya mwili. Homa na koo kukabwa, kuwashwa, kuhisi damu ya baridi, jaws (tezi) kuwa na maumivu makali na ngozi kuakisi rangi ya bluu na kizunguzungu ni hali ninazopambana nazo.
Namna nahisi afya yangu kwa sasa, niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua tahadhari lah! Nimekuwa nikizingatia taratibu zote toka mlipuko huu kutokea Wuhan lakini nimekwamishwa na jamii ya watu walionizunguka.
Nimeorodhesha dalili na hali kuweza kusaidia mamlaka na watu kufahamu hali ilivyo. Hali ikiendelea hivi itatuchukua miaka 10 kupambana na COVID-19 ikiwa tumezungukwa na watu wenye mentality za hovyo na wasiojali wala kuchukua tahadhari.
Sergio 🐰
Awamu ya pili nilikumbana na huu ugonjwa, kiukweli ugonjwa huu unatesa sana mgonjwa, ni gharama hata kama una hela, kwa asie na hela hali yake ni ngumu sana. Nilisumbuka sana kipambania afya kipindi kile japo nilikuwa na chukuwa tahadhari sana ila watu wanaonizunguka wanaenda sehemu kama Kariakoo, bar, makanisani na mbaya zaidi wengi hawachukui tahadhari.
Serikali inatakiwa kuchukuwa hatua kali sana bila kuoneana huruma maana huu ugonjwa ukiingia kwenye familia ni janga kubwa sana. Kwa ambaye alishapata huu ugonjwa au ambaye kwenye familia yake kumeahapatikana mgonjwa ndio atakuwa anajua jinsi huu ugonjwa unavyotumia gharama kubwa kupambana nao.
Mkuu usijiulize mara mbili nenda hospitali inayojielewa (Private) directly waambie dalili za UVIKO-19 upo Nazo wakupatie matibabu au anza kujitibia haraka sana.Upone haraka mkuuu, nashukuru kwa kuorodhesha hizo dalili.
Hivi karibuni nimekuwa nahisi vichomi kwenye kifua,joto la mwili liko juu,usingizi sipati,kichwa kinauma,mwili wote na mifupa kuuma na sometimes ucku nilitetemeka na uchovu wa hapa na pale japo sikohoi , Hali ambayo sijawahi experience kwa miaka mingi.
Nimelazimika kuingia jukwaa hili nione kama ntapata dalili kama zangu Ili nijue cha kufanya,nimepima vipimo vya kawaida kama typhoid,UTI,malaria na tumbo hakuna kitu.Hapa nawaza niendelee na vipimo au nitafute mkondo mwingine wa matibabu.
Siku nimeenda hospital kuchek afya walipima joto hakukuwa na shida ila Jana mchana hadi naandika sms hii joto liko juu Sana.Hapa Niko stuck nifanye uamzi upi japo tunatakiwa kutokuwa na hofu but lolote linaweza kutokea.Daa hatari sana may God helps me..
How old are you my brother?Habari [emoji1480]
Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi.
Toka juzi jioni najihisi vibaya, napumua kwa shida, nimebwana kifua, mafua na kikohozi. Uwezo wa kusikia na kuona umepungua sana, nahisi maumivu katika mifupa na maungio ya mwili. Homa na koo kukabwa, kuwashwa, kuhisi damu ya baridi, jaws (tezi) kuwa na maumivu makali na ngozi kuakisi rangi ya bluu na kizunguzungu ni hali ninazopambana nazo.
Namna nahisi afya yangu kwa sasa, niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua tahadhari lah! Nimekuwa nikizingatia taratibu zote toka mlipuko huu kutokea Wuhan lakini nimekwamishwa na jamii ya watu walionizunguka.
Nimeorodhesha dalili na hali kuweza kusaidia mamlaka na watu kufahamu hali ilivyo. Hali ikiendelea hivi itatuchukua miaka 10 kupambana na COVID-19 ikiwa tumezungukwa na watu wenye mentality za hovyo na wasiojali wala kuchukua tahadhari.
Sergio [emoji195]
Generation ZHow old are you my brother?
You'r still young my brother so that you've strong body immunity.Generation Z
Nimekuta wameniambia nimonia na wamenianzishia dozi saizi naona naricover mdogo mdogo.Mkuu usijiulize mara mbili nenda hospitali inayojielewa (Private) directly waambie dalili za UVIKO-19 upo Nazo wakupatie matibabu au anza kujitibia haraka sana.
UVIKO-19 kuipiga ni lazima uwahi dalili zake za awali..
Pole sana, wish you a speedy recovery.Nimekuta wameniambia nimonia na wamenianzishia dozi saizi naona naricover mdogo mdogo.
Sasa jamaa wananinyanyapaa eti mtu mzima ukisikia nimonia wanajua no uviko 19 but Dr kaniambia sio uviko 19
Pole mzee.Pole sana, wish you a speedy recovery.
Assume ni Covid una Mild symptoms, upo safe, ila ukiskia tatizo la kupumua ni serious wahi kwa Wataalamu wa afya,Nimekuta wameniambia nimonia na wamenianzishia dozi saizi naona naricover mdogo mdogo.
Sasa jamaa wananinyanyapaa eti mtu mzima ukisikia nimonia wanajua no uviko 19 but Dr kaniambia sio uviko 19
Hujaenda Hosp!! Mimi nilikaa nayo kuja kustukia sipumui na x ray ikaonesha mapafu yameanza kuharibika. Nenda hosp upewe doziHabari [emoji1480]
Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi.
Toka juzi jioni najihisi vibaya, napumua kwa shida, nimebwana kifua, mafua na kikohozi. Uwezo wa kusikia na kuona umepungua sana, nahisi maumivu katika mifupa na maungio ya mwili. Homa na koo kukabwa, kuwashwa, kuhisi damu ya baridi, jaws (tezi) kuwa na maumivu makali na ngozi kuakisi rangi ya bluu na kizunguzungu ni hali ninazopambana nazo.
Namna nahisi afya yangu kwa sasa, niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua tahadhari lah! Nimekuwa nikizingatia taratibu zote toka mlipuko huu kutokea Wuhan lakini nimekwamishwa na jamii ya watu walionizunguka.
Nimeorodhesha dalili na hali kuweza kusaidia mamlaka na watu kufahamu hali ilivyo. Hali ikiendelea hivi itatuchukua miaka 10 kupambana na COVID-19 ikiwa tumezungukwa na watu wenye mentality za hovyo na wasiojali wala kuchukua tahadhari.
Sergio [emoji195]
Pole sana mkuu.Habari 👋🏾
Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi.
Toka juzi jioni najihisi vibaya, napumua kwa shida, nimebwana kifua, mafua na kikohozi. Uwezo wa kusikia na kuona umepungua sana, nahisi maumivu katika mifupa na maungio ya mwili. Homa na koo kukabwa, kuwashwa, kuhisi damu ya baridi, jaws (tezi) kuwa na maumivu makali na ngozi kuakisi rangi ya bluu na kizunguzungu ni hali ninazopambana nazo.
Namna nahisi afya yangu kwa sasa, niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua tahadhari lah! Nimekuwa nikizingatia taratibu zote toka mlipuko huu kutokea Wuhan lakini nimekwamishwa na jamii ya watu walionizunguka.
Nimeorodhesha dalili na hali kuweza kusaidia mamlaka na watu kufahamu hali ilivyo. Hali ikiendelea hivi itatuchukua miaka 10 kupambana na COVID-19 ikiwa tumezungukwa na watu wenye mentality za hovyo na wasiojali wala kuchukua tahadhari.
Sergio 🐰