#COVID19 Napambana na COVID-19 deadly Delta

#COVID19 Napambana na COVID-19 deadly Delta

Upone haraka mkuuu, nashukuru kwa kuorodhesha hizo dalili.

Hivi karibuni nimekuwa nahisi vichomi kwenye kifua,joto la mwili liko juu,usingizi sipati,kichwa kinauma,mwili wote na mifupa kuuma na sometimes ucku nilitetemeka na uchovu wa hapa na pale japo sikohoi , Hali ambayo sijawahi experience kwa miaka mingi.

Nimelazimika kuingia jukwaa hili nione kama ntapata dalili kama zangu Ili nijue cha kufanya,nimepima vipimo vya kawaida kama typhoid,UTI,malaria na tumbo hakuna kitu.Hapa nawaza niendelee na vipimo au nitafute mkondo mwingine wa matibabu.

Siku nimeenda hospital kuchek afya walipima joto hakukuwa na shida ila Jana mchana hadi naandika sms hii joto liko juu Sana.Hapa Niko stuck nifanye uamzi upi japo tunatakiwa kutokuwa na hofu but lolote linaweza kutokea.Daa hatari sana may God helps me..
Pole sana mkuu, nimepitia kwenye dalili kama zako ila ni kama week tatu zilizopita vipimo umetaja ndio nilivyofanya na vyote havikuwa na shida. Kifua nilikua nacho tena kikali sana ila nilipewa dawa mapema kikatulia, nimehangaika na mafua makali sijapata umwa mafua kama yale.

Kwa kawaida nikipata mafua kuna vidonge hua nameza ni ndani ya siku mbili tu habari imeisha, hayo niliyopata week tatu zilizopita yalikuwa makali sana, kukosa usingizi, joint kuuma, kichwa ndio usiseme joto la mwili kuwa juu yani tabu tupu, mimi ilikuwa ikifika usiku ni kama nakesha maana usingizi sipati.

Kwa muda wa siku kama tano nahangaika na mafua makali balaa.. hadi navyoandika muda huu nimepoteza ladha na harufu yani sinusi week ya tatu hii na sina mafua wala nini. Hali yako kwa sasa ikoje?

Note: sijaandika the whole story, kuna siku nadhani ya nne kuumwa mafua niliumwa sana usiku, yote tisa ilifika mahali mkojo ukawa hautoki maumivu makali sana chini kitovu upande wa kushoto ile siku nilishaanza kujiambia hii ndo kwisha habari ashukuriwe Mungu niliwahishwa hospitali kwa sasa nipo salama shida imebaki kwenye kunusa na ladha ya chakula, hatari hii [emoji23][emoji23]
 
Pole sana mkuu, nimepitia kwenye dalili kama zako ila ni kama week tatu zilizopita vipimo umetaja ndio nilivyofanya na vyote havikuwa na shida. Kifua nilikua nacho tena kikali sana ila nilipewa dawa mapema kikatulia, nimehangaika na mafua makali sijapata umwa mafua kama yale.

Kwa kawaida nikipata mafua kuna vidonge hua nameza ni ndani ya siku mbili tu habari imeisha, hayo niliyopata week tatu zilizopita yalikuwa makali sana, kukosa usingizi, joint kuuma, kichwa ndio usiseme joto la mwili kuwa juu yani tabu tupu, mimi ilikuwa ikifika usiku ni kama nakesha maana usingizi sipati.

Kwa muda wa siku kama tano nahangaika na mafua makali balaa.. hadi navyoandika muda huu nimepoteza ladha na harufu yani sinusi week ya tatu hii na sina mafua wala nini. Hali yako kwa sasa ikoje?

Note: sijaandika the whole story, kuna siku nadhani ya nne kuumwa mafua niliumwa sana usiku, yote tisa ilifika mahali mkojo ukawa hautoki maumivu makali sana chini kitovu upande wa kushoto ile siku nilishaanza kujiambia hii ndo kwisha habari ashukuriwe Mungu niliwahishwa hospitali kwa sasa nipo salama shida imebaki kwenye kunusa na ladha ya chakula, hatari hii [emoji23][emoji23]
Pole mkuu mimi naendelea vizuri
 
Assume ni Covid una Mild symptoms, upo safe, ila ukiskia tatizo la kupumua ni serious wahi kwa Wataalamu wa afya,

Nafahamu wengi na personal experience hio ni Delta, inakuja na viungo kuuma, usiku ukilala kila upande sio, Homa,kichwa then dalili zikiisha ndio yanakuja mafua/kifua.
Hivi kwa wale tulionza umwa mafua makali plus kifua huku tukiwa na homa joint kuuma kichwa kuharisha japo sio sana ndo tunawekwa kundi gani? Maana binafsi nimepitia njia hiyo kwa sasa nilichobaki nacho ni kupoteza ladha na harufu na maumivu ya joint ya hapa na pale not serious kiivyo
 
kinachonishangaza kwa uzoefu wangu ni kwamba,wale wanaofuata taratibu kama kuvaa barakoa na kunawa mikono ndio wanaougua,...mfano wewe,unasema tatizo watu wanaokuzunguka hawachukui tahadhari,pia kuna mwingine humu anasema aliugua ingawa alikua anachukua tahadhari ila tatizo ni wale waliomzunguka.....huwa natafakari sana haya....mbona wale careless kabisa hawaugui?...Mfano pale mtaa wa Kongo Kariakoo,kuna mchanganyiko wa watu wengi zaidi kuliko eneo lolote Tanzania na watu hawavai barakoa!!!

Kuna mmoja alisema huu ugonjwa ni selective sana!!....ila mimi nasema kwamba kuna kitu watu hawakioni,ni wachache sana ndio tunaweza kukiona,...inahitaji weledi na kufikiri kwa kina....mimi nimekaa na hao waliokua wanasemwa wanaugua ugonjwa huo na sikua navaa barakoa lakini sikuugua!!....hekima na akili inahitajika hapa....

Wazungu hasa mataifa ya uingereza na Marekani na hata China ndio wanaoongoza kuchukua tahadhari na Afrika ndio very careless lakini wazungu ndio tunaosikia wanaathirika zaidi na kufa sana kuliko Afrika!!!....hekima na akili inahitajika hapa....we are shooting wrong target bila kujua....na tunajiamini kwamba hiyo ndio target....

Nakumbuka zamani wakati wa mlipuko wa magonjwa kama SMON na SCURVY watu walipiga wrong target kwa muda mrefu sana na wengi walikufa sana mpaka walipoacha siasa kwenye medicine ndipo wakaja kugundua the real cause....

Kazi kubwa ya propaganda ni kuigeuza akili timamu ya mtu ili aamini zaidi kile anachoambiwa kuliko kile anachokiona yeye mwenyewe....

Swali:
Naomba kwa yeyote anayejua dalili moja tu ambayo ipo kwenye covid19 ambayo huwezi kuikuta kwenye seasonal flu/Influenza.Naomba aweke hapa dalili hiyo.
Chief sema neno tupate kufunguka nakuelewa sana toka enzi zile za uzi wa mambo ya UKIMWI. By the way umeadimika sana mkuu
 
Hivi kwa wale tulionza umwa mafua makali plus kifua huku tukiwa na homa joint kuuma kichwa kuharisha japo sio sana ndo tunawekwa kundi gani? Maana binafsi nimepitia njia hiyo kwa sasa nilichobaki nacho ni kupoteza ladha na harufu na maumivu ya joint ya hapa na pale not serious kiivyo
Nyingi hapo ni dalili ndogo, na za kati.

Dalili kubwa ni kupumua kwa tabu ama pumzi kukata kabisa, kifua kuuma, kupoteza sauti na kushindwa kutembea.
 
Endelea kutumia mchanganyiko wa juice ya limao na tangawizi,

Fanya mazoezi hata kama unaona hali ni mbaya

Tumia vitamin c kwa wingi

Hii kitu imenikuta na kama kufa ilitakiwa nife Jtatu usiku au Jnne ya wiki hii ila Mungu amenipa nafasi nyingine

Mbinu niliyitumia nikiwa katikati ya maumivu makali ya mwili na mbavu kuuma, niliinuka nikavaa viatu vya mazoezi nikaingia road(jogging kama ½ km nikarudi hom)

Usiku wake nikahisi kufakufa ila asubuhi nikaamka na nafuu

Na huu ndio utaratibu niliinao hadi sasa naelekea kupona kabisa

NB: kitu cha ajabu nilichogundua kwenye ugonjwa huu, wanangu wadogo na mke wangu wameishia kupata vipele tu, hawajaathirika sana kama mimi,

Mungu yupo.
[emoji23][emoji23] mkuu imebidi nicheke kwenye phrase ya kufa j3 au j4. Mimi nilipitia hali kama hiyo nakumbuka ilikuwa J3 kuamkia J4 asikwambie mtu kuna mahali unaona kabisa hapa nikimaliza dk kadhaa sijui itakuaje ila ashukuriwe Mungu alinitetea kwa uweza wake.
 
Nyingi hapo ni dalili ndogo, na za kati.

Dalili kubwa ni kupumua kwa tabu ama pumzi kukata kabisa, kifua kuuma, kupoteza sauti na kushindwa kutembea.
Influenza ina dalili hizi pia...kibaya zaidi hakuna kipimo kinachoweza kuthibitisha kwamba corona virus ndio kisababishi kwa dalili hizi,vipimo vilivyopo vyote ni flawed na viko manipulated kwa kazi maalum iliyokusudiwa na viwanda vya madawa ili kufikia malengo na dhamira zao kwa urahisi.
 
Influenza ina dalili hizi pia...kibaya zaidi hakuna kipimo kinachoweza kuthibitisha kwamba corona virus ndio kisababishi kwa dalili hizi,vipimo vilivyopo vyote ni flawed na viko manipulated kwa kazi maalum iliyokusudiwa na viwanda vya madawa ili kufikia malengo na dhamira zao kwa urahisi.
Influenza inasababisha viungo kuuma na kukosa hata upande wa kulalia usiku?

Pia kwa experience yangu mafua huja na chafya za kutosha
 
Influenza inasababisha viungo kuuma na kukosa hata upande wa kulalia usiku?

Pia kwa experience yangu mafua huja na chafya za kutosha
Dalili za influenza ndio zilezile za" the termed covid19"....hii ni kwa mujibu wa CDC,si mimi.

Covid19 ni changa la macho tu ambao unategemea uwepo wa influenza na magonjwa mengine kama asthma,moyo nk...bila magonjwa haya basi covid19 haipo pia....sijui kama utakua umeelewa hapo.

miaka hii mitatu seasonal influenza imeenda likizo,imetoa nafasi kwa covid19,hii inashangaza sana!...magonjwa ya akili ya kupeana zamu...yaani kila case inayohusu influenza au combination of influenza and other diseases inakua diagnosed kama covid19 kwa hivi vipimo vya mafenesi na mapapai....watu hawana akili ya kujiuliza kwa kua wanaamini regime hii kwa asilimia 100....hii inatokana na ujinga tu...
 
Dalili za influenza ndio zilezile za" the termed covid19"....hii ni kwa mujibu wa CDC,si mimi.

Covid19 ni changa la macho tu ambao unategemea uwepo wa influenza na magonjwa mengine kama asthma,moyo nk...bila magonjwa haya basi covid19 haipo pia....sijui kama utakua umeelewa hapo.

miaka hii mitatu seasonal influenza imeenda likizo,imetoa nafasi kwa covid19,hii inashangaza sana!...magonjwa ya akili ya kupeana zamu...yaani kila case inayohusu influenza au combination of influenza and other diseases inakua diagnosed kama covid19 kwa hivi vipimo vya mafenesi na mapapai....watu hawana akili ya kujiuliza kwa kua wanaamini regime hii kwa asilimia 100....hii inatokana na ujinga tu...
Acha conspiracy theory za kijinga,

Mimi nimeugua mafua sana kwamba na ukubwa wangu huu nishindwe kutofautisha mafua na ugonjwa mwengine? , omba mungu tu mkuu delta isikukute, mwili unauma kama umegongwa na nyundo mwili mzima, nusu saa unalala kifudifudi, chali, ubavu wa kulia wa kushoto etc, kila unavyolala sio,
 
Kwahiyo ukiumwa viungo basi tayari hiyo ni corona?

Jinga hili.
Huna lolote wewe mjinga tu.

Sikiliza wajuvi wanavyokuelekeza acha kushupaza shingo!
Mkuu mimi nimekusamehe ila omba mungu hili janga lisikupate, mimi binafsi nimeshapoteza Ndugu na jamaa karibia kumi.

Mwezi huu huu nimezika Ndugu sababu ya Corona, na wakati wa kuswalia msikitini bado nusu tu niondoke na Maiti nyengine jinsi kulivyo na foleni na watu wanavyopukutika.

Kama una wasaa nenda msikiti wa maamuri pale upanga, kuna facilities za kumuandaa Maiti, nenda ukaone foleni za watu wanavyozika,

Na mafua yapo tofauti na Korona, mfano mafua yakiambatana na kichwa na home unapona ndani ya siku 1 mpaka 4, Ile covid inachukua muda zaidi ya huo.

Na mimi binafsi sijapima ila wengi ambao tulikuwa Circle moja na kuambukizana wamepima na ni positive, tena hospitali za kueleweka na multiple test zimefanyika.
 
kinachonishangaza kwa uzoefu wangu ni kwamba,wale wanaofuata taratibu kama kuvaa barakoa na kunawa mikono ndio wanaougua,...mfano wewe,unasema tatizo watu wanaokuzunguka hawachukui tahadhari,pia kuna mwingine humu anasema aliugua ingawa alikua anachukua tahadhari ila tatizo ni wale waliomzunguka.....huwa natafakari sana haya....mbona wale careless kabisa hawaugui?...Mfano pale mtaa wa Kongo Kariakoo,kuna mchanganyiko wa watu wengi zaidi kuliko eneo lolote Tanzania na watu hawavai barakoa!!!

Kuna mmoja alisema huu ugonjwa ni selective sana!!....ila mimi nasema kwamba kuna kitu watu hawakioni,ni wachache sana ndio tunaweza kukiona,...inahitaji weledi na kufikiri kwa kina....mimi nimekaa na hao waliokua wanasemwa wanaugua ugonjwa huo na sikua navaa barakoa lakini sikuugua!!....hekima na akili inahitajika hapa....

Wazungu hasa mataifa ya uingereza na Marekani na hata China ndio wanaoongoza kuchukua tahadhari na Afrika ndio very careless lakini wazungu ndio tunaosikia wanaathirika zaidi na kufa sana kuliko Afrika!!!....hekima na akili inahitajika hapa....we are shooting wrong target bila kujua....na tunajiamini kwamba hiyo ndio target....

Nakumbuka zamani wakati wa mlipuko wa magonjwa kama SMON na SCURVY watu walipiga wrong target kwa muda mrefu sana na wengi walikufa sana mpaka walipoacha siasa kwenye medicine ndipo wakaja kugundua the real cause....

Kazi kubwa ya propaganda ni kuigeuza akili timamu ya mtu ili aamini zaidi kile anachoambiwa kuliko kile anachokiona yeye mwenyewe....

Swali:
Naomba kwa yeyote anayejua dalili moja tu ambayo ipo kwenye covid19 ambayo huwezi kuikuta kwenye seasonal flu/Influenza.Naomba aweke hapa dalili hiyo.
Nimekaa na mgonjwa wa korona 3 weeks pamoja,shuka moja,kula pamoja every thing....sikuogopa nilibaki na Mungu wangu na nikaamini sitaumwa,mpk Leo sijaumwa labda nianze kesho!Huu ugonjwa ni kama mengine mhimu ni kuomba tu Mungu atuepushe!
Hofu ndo inaua jamani...

Hivi siye waswahili kutwaa juani hicho kirusi kinakaa wapi!hao wanaoshinda kwenye artificial surroundings ndo wako na hatarii zaidi,kuaniza nyumbani,ofisini,garini,bar n.k ni AC tuuu!Corona itawapiga tu!
Waafrica tuna akili za kushikiwa Sanaa!
 
Nimekaa na mgonjwa wa korona 3 weeks pamoja,shuka moja,kula pamoja every thing....sikuogopa nilibaki na Mungu wangu na nikaamini sitaumwa,mpk Leo sijaumwa labda nianze kesho!Huu ugonjwa ni kama mengine mhimu ni kuomba tu Mungu atuepushe!
Hofu ndo inaua jamani...

Hivi siye waswahili kutwaa juani hicho kirusi kinakaa wapi!hao wanaoshinda kwenye artificial surroundings ndo wako na hatarii zaidi,kuaniza nyumbani,ofisini,garini,bar n.k ni AC tuuu!Corona itawapiga tu!
Waafrica tuna akili za kushikiwa Sanaa!
Una miaka mingapi? Kote huko duniani hawafi watu wenye umri mdogo unless ana matatizo mengine. Kwa sisi vijana ni ugonjwa kama magonjwa mengine, lakini hali si sawa kwa wazee, wazazi wetu, viongozi wetu, maprofesa wetu etc.

Nchi kila siku inapoteza watu muhimu kwenye Taifa, nimesoma Chuo mpaka nimemaliza sijawahi kufundishwa na professor sababu ya Uchache wao, Leo hii kila siku kadhaa unasikia Proffesor fulani ameaga Dunia, ningependa mtu aje na statistic tumepoteza Maproffesor wangapi ndani ya miaka miwili hii.


Tunaweza kuiponda Covid ila inatudumbukiza kwenye Shimo kama Taifa bila kujijua.
 
Nimekaa na mgonjwa wa korona 3 weeks pamoja,shuka moja,kula pamoja every thing....sikuogopa nilibaki na Mungu wangu na nikaamini sitaumwa,mpk Leo sijaumwa labda nianze kesho!Huu ugonjwa ni kama mengine mhimu ni kuomba tu Mungu atuepushe!
Hofu ndo inaua jamani...

Hivi siye waswahili kutwaa juani hicho kirusi kinakaa wapi!hao wanaoshinda kwenye artificial surroundings ndo wako na hatarii zaidi,kuaniza nyumbani,ofisini,garini,bar n.k ni AC tuuu!Corona itawapiga tu!
Waafrica tuna akili za kushikiwa Sanaa!
kuna watu wanasema walitumia takribani tshs laki 2 kujiuguza covid19,....hii si covid19 kama wanavyoamini,ni aidha influenza au walikua na healthy problems nyingine....

Halafu ukiona mtu anatumia takribani tshs laki 2 kujiuguza influenza(the termed covid19) basi ujue kinga yake iko compromised/ana mapungufu kwenye kinga.
 
kuna watu wanasema walitumia takribani tshs laki 2 kujiuguza covid19,....hii si covid19 kama wanavyoamini,ni aidha influenza au walikua na healthy problems nyingine....

Halafu ukiona mtu anatumia takribani tshs laki 2 kujiuguza influenza(the termed covid19) basi ujue kinga yake iko compromised/ana mapungufu kwenye kinga.
Hadi napona COVID-19 nimetumia 400k+ all expenses. Nimewahi kuwa na mafua lakini hali niliyoipata sikuwahi kuipata kabla katika maisha yangu.
 
Back
Top Bottom