Napata mashaka na huyu binti mshika dini na kauli zake

Napata mashaka na huyu binti mshika dini na kauli zake

Kwani we lengo lake kwako ni nini kuona mwili wake, rafiki tu au kuoa.
Shida pisi ina shobo sana sio kwamba namfata fata ila yeye sasa muda wote kupigiana simu na wakati huo hatuna mahusiano
 
Kuwa karibu na mtu sio lazima ngono just for friends. But chating at the end kituo kinachofuata ni ngono.
Pia maneno yake tukiongea ndio shida yani mkiongea unaona kabisa huyu anataka naniliuu
 
Mtu yeyeto anaeshika dini inatakiwa Sana kuwa nae makini sana. Usiingie kwq kuamini Sana. Wengi dini ni kichaka cha kuaminiwa
 
Pia maneno yake tukiongea ndio shida yani mkiongea unaona kabisa huyu anataka naniliuu
Analega lega hata aliye nae hana uhakika nae ndo walivyo wote ambao awajaolewa hawawezi tulia na mtu mmoja huwa wanajaribu KILA sehemu Ili kupata nani yupo serious.
Kama huna future nae mchane tu live unataka only friend Ili asipoteze mda kwako.
Hapo anatafuta una nia gani kwake kwake thus anakuletea hizo sitaki nataka.
Kama huna nia nae usile utamuumiza zaidi thus anakuambia wanaume ni waongo anaogopa kutoneshwa.
 
Mtu yeyeto anaeshika dini inatakiwa Sana kuwa nae makini sana. Usiingie kwq kuamini Sana. Wengi dini ni kichaka cha kuaminiwa
Yaah kweli maana huyu demu mkikaa mkiongea story zake nyingi mara wifi ajambo mara naogopa kuja mpaka unitambulishe mara nataka tuwe marafiki
 
Analega lega hata aliye nae hana uhakika nae ndo walivyo wote ambao awajaolewa hawawezi tulia na mtu mmoja huwa wanajaribu KILA sehemu Ili kupata nani yupo serious.
Kama huna future nae mchane tu live unataka only friend Ili asipoteze mda kwako.
Hapo anatafuta una nia gani kwake kwake thus anakuletea hizo sitaki nataka.
Kama huna nia nae usile utamuumiza zaidi thus anakuambia wanaume ni waongo anaogopa kutoneshwa.
Basi ndio maana kauli zake mara wanaume wote ndio wale wale mara sitaki uzinzi ina maana aliwahi kuhaidiwa kuolewa mambo yakaenda kombo mkuu?
 
Basi ndio maana kauli zake mara wanaume wote ndio wale wale mara sitaki uzinzi ina maana aliwahi kuhaidiwa kuolewa mambo yakaenda kombo mkuu?
Ndio maana yake.
Ila wanawake wengi ni wapumbavu wanatamani Sana ndoa Mungu akishawapa tu ndoa uanza bidii ya kuzibomoa ndoa.
Mchepuko na kahaba only ndio wanawake wanaozingatia mafunzo ya ndoa na kujua mwanaume atakiwa umuhandle vipi thus upora wanaume za watu kwa sababu wake za watu wamelala seminar za ndoa zikiisha na mafunzo wanayaachia huko huko kwenye seminar.
 
Yaah kweli maana huyu demu mkikaa mkiongea story zake nyingi mara wifi ajambo mara naogopa kuja mpaka unitambulishe mara nataka tuwe marafiki
Anataka ndoa huyo umri unasogea.
Hataki michezo.Kama huna future nae mpe live.
 
Ndio maana yake.
Ila wanawake wengi ni wapumbavu wanatamani Sana ndoa Mungu akishawapa tu ndoa uanza bidii ya kuzibomoa ndoa.
Mchepuko na kahaba only ndio wanawake wanaozingatia mafunzo ya ndoa na kujua mwanaume atakiwa umuhandle vipi thus upora wanaume za watu kwa sababu wake za watu wamelala seminar za ndoa zikiisha na mafunzo wanayaachia huko huko kwenye seminar.
Sijui shida yao ni nini mkuu? wanafosi ndoa alafu baadae wanabadilika ila nadhani wengi wao ndo huwa ni ya kutoa aibu tu.
 
Wachamungu sana wengi waongo, hujasikia Kuna mwamba kapigwa tukio?
 
Wachamungu sana wengi waongo, hujasikia Kuna mwamba kapigwa tukio?
Nimesikia mkuu inamaana dini siku hizi ni kichaka cha watenda zambi tu
 
Mchane live kwamba una mtu Ili asipoteze mda wake.
Thus anakuambia umtambulishe wifi
Kweli mkuu hapa dawa ni kumchana live tu maana story za wifi ajambo nimezichoka kwake
 
Back
Top Bottom