Eswa
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 231
- 617
Nina tatizo kama hilo, inakaribia mwezi sasa. Ninapata maumivu upande wa kushoto na moyo unauma km kuna kitu kinachoma, tumbo linakuwa linakaza sana, muda mwingine nasikia miungurumo kama ya gesi tumboni. Kuna muda mapigo ya moyo yanakwenda kasi na ninaanza kujisikia vibaya sana hasa usiku au nikiwa kwenye vyombo vya usafiri hadi inafikia hatua ninashuka na kutulia mahali then naendelea na safari, kama ni usiku nimelala nitaamka na kukaa kitandani yakitulia nitalala.
Nimeenda dispensary nikaambiwa ni gesi nikapewa dawa ila sioni badiliko lolote.! Sasa sijajua ni vidonda vya tumbo au ni shida ya moyo
Nimeenda dispensary nikaambiwa ni gesi nikapewa dawa ila sioni badiliko lolote.! Sasa sijajua ni vidonda vya tumbo au ni shida ya moyo