Napata Mkanganyiko hapa kuhusu hii simu. Sijalala toka jana

Napata Mkanganyiko hapa kuhusu hii simu. Sijalala toka jana

🤣🤣🤣 Hiyo 500,000 ni nyingi sana hasa kwa sisi watu wa kipato cha chini. Yaani sielewi nitawakoga namna gani washkaji kitaa. Mimi kabla ya hii nilikuwa na simu moja kali sana nlipewa na Boss wangu Mhindi baada ya kuwa imeanza msumbua. Hii ndo ninayotumia mpaka leo ina miaka 8.

Sasa imajini napata simu ya tsh 500,000 mpya kabisa . Kuna kulala hapo? Acha kabisa. Hivi siwezi kupata na cover ya chuma au bati ili hata ikitokea bahati mbaya imeanguka isithurike?
🤩🤩🤩🤩Cover la bati!!!
 
Mwindi akupe simu bure kwel alaf boss wako?[emoji23] itakuwa alikupakia mkongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyo 500,000 ni nyingi sana hasa kwa sisi watu wa kipato cha chini. Yaani sielewi nitawakoga namna gani washkaji kitaa. Mimi kabla ya hii nilikuwa na simu moja kali sana nlipewa na Boss wangu Mhindi baada ya kuwa imeanza msumbua. Hii ndo ninayotumia mpaka leo ina miaka 8.

Sasa imajini napata simu ya tsh 500,000 mpya kabisa . Kuna kulala hapo? Acha kabisa. Hivi siwezi kupata na cover ya chuma au bati ili hata ikitokea bahati mbaya imeanguka isithurike?
 
Mwindi akupe simu bure kwel alaf boss wako?[emoji23] itakuwa alikupakia mkongo
Huu uzoefu uliupata toka kwa baba na mama yako. Sasa umekua ukiona hivyo na walikuambia lazima iwe hivyo. Pole sana walikudanganya...walikuwa wanapenda tu wenyewe.
 
Naimani mtoa Uzi muongozo umepata

Japo mmeamua kuchambana sasa[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom