Napata Mkanganyiko hapa kuhusu hii simu. Sijalala toka jana

🤩🤩🤩🤩Cover la bati!!!
 
Mwindi akupe simu bure kwel alaf boss wako?[emoji23] itakuwa alikupakia mkongo
 
Mwindi akupe simu bure kwel alaf boss wako?[emoji23] itakuwa alikupakia mkongo
Huu uzoefu uliupata toka kwa baba na mama yako. Sasa umekua ukiona hivyo na walikuambia lazima iwe hivyo. Pole sana walikudanganya...walikuwa wanapenda tu wenyewe.
 
Naimani mtoa Uzi muongozo umepata

Japo mmeamua kuchambana sasa[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…