Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
dah hapo sawa.ilikuwa tu kwa siku hyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah hapo sawa.ilikuwa tu kwa siku hyo
kwani kunaamri ya Mungu inayosema "USIROGE"Tubu kamanda,mrudie Mungu tafadhali
Kuota unakimbizwa ni ishara ya kufukuzwa kwenye mafanikio yako halisi na kupewa feki ambayo ndo unayaona sasa.
Lakini pia kuota nyoka anakutemea sumu ni ishara nyingine kwamba umeingia kwenye milki ya shetani (nyoka) na tayari amekupa sumu ambayo baada ya muda ndo itaanza kuonyesha makali yake.
Ulivyokuwa ukiomba na kukemea kwenye ndoto ni Mungu anasema na wewe kuwa bado mlango wa neema ya Kristu kupitia damu yake haujafungwa na anatamani uwe na nguvu za kiroho halisi kupitia Neno lake badala ya kutembea katika mafanikio hafifu na ya muda ya giza.
Jitafakari before ts too late. Umefanya jambo ambalo Mungu alitaka kuwaangamiza wana wa Israeli wote at once pale walipochanganya miungu (walitengeneza ndama) wakaiabudu.
Mungu akurehemu sana rafiki yangu. Moyoni wangu umepata huzuni kusoma andiko hili kama ni la kweli.
Be Blessed.
Mungu hafikiri km mwanadamu, ni mwingi wa rehema. Narudi kumalizia therapy ya kalmanzila, uzuri doctor hachanji wala hahitaji kafara hata ya njiwa hizo ndo connection hatari kwenye ulimwengu wa roho. Mambo yakiniendea vizuri narudi kwa God kikamilifu huku nikifurahia mafanikio niliyoyapata kwenye shirki. Hapo vipi kiongoziWewe siyo wa kwanza kupitia Economic crisis Mkuu..
Tatizo hukupata ushauri sahihi matokeo yake ukashauriwa kuziendea njia za giza..
(kumsujudia Shetani)
Itakufaidi nini ukipata milki zote za Dunia halafu ukamkosa Mungu?
Kwa maana Shetani anao uwezo wa kukupa mali...lakini Mwisho wake ni Kifo tena cha Ghafla ili usipate Muda wa kutubu....
Na hiyo Dhambi utaona ni ndogo lakini...itakuandama wewe na uzao wako wote na ni machungu yasiyo na mfano...
Wewe unajiangalia binafsi yako lakini shetani analenga madhara yatakayokuandama vizazi vyako vyote...
Unajisikiaje unaendesha gari, una nyumba, na mali nyingi halafu moyoni mwako unajua wazi Mdhamini wako ni Shetani?
Hili jambo linaumiza nafsi za wengi wanaopata mali kwa njia za uganga na uchawi sema hawasemi...
SHETANI AKIKUKOPESHA UTALIPA, HATA KAMA UTACHELEWA KUDAIWA.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sasa kama unajua ulikuwa sahihi..ni kwa nini ukatuhadithia ndoto zako za kutisha ulizoota?Mungu hafikiri km mwanadamu, ni mwingi wa rehema. Narudi kumalizia therapy ya kalmanzila, uzuri doctor hachanji wala hahitaji kafara hata ya njiwa hizo ndo connection hatari kwenye ulimwengu wa roho. Mambo yakiniendea vizuri narudi kwa God kikamilifu huku nikifurahia mafanikio niliyoyapata kwenye shirki. Hapo vipi kiongozi
Na c ajabu siku hiyo ulikumbwa na genye hatari[emoji16][emoji16][emoji16]ilikuwa tu kwa siku hyo
Lia na chumvi ya mawe mkuunifanyeje kiongozi, hawa watu waliweza kuona nyota yangu haijakaa sawa. Kwenye bible kuna vifungu na muongozo mzuri wa kusafisha kibali changu ili mambo yaniendee vizuri. kama ulishawahi pitia maisha ya kukaa mwezi bila kuingiza hata mia utaelewa. efforts zangu haziniletei matunda
Very very.Interesting
Itafikia kipind utatakiwa uitoe sadaka familianajua, najitoa sadaka for sake ya family
tupe uzoefu kwa faida ya wengine piaKWENDA KWA MGANGA NI HATARI SANA. TENA SANA.
HUKO UNAWEZA KULIZOA LIROHO LA AJABU AU LIJINI LIKAANZA KUKUSULUBU MAISHANI NA KUKUTIA MARADHI NA MAUMIVU YA MWILI.
HII NINAYOKWAMBIA NI KITU HALISI.
ACHA.
KAMA UNAANDIKA KWA KUJIFURAHISHA SAWA.tupe uzoefu kwa faida ya wengine pia
Ndiyo ipo mistari Mingi sana kwenye Biblia inayokataza Kuloga au kufanya uchawikwani kunaamri ya Mungu inayosema "USIROGE"
ISAYA 8:19-20.Ndiyo ipo mistari Mingi sana kwenye Biblia inayokataza Kuloga au kufanya uchawi
(Kumbukumbu la Torati 18:10-11)
1. Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,
2.wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app