Napata nguvu kushangilia Al Hilal

We
We si malaya tu unajulikana halafu siyo raia wa nchi yetu.
 
Mkapa alistahili kupewa huo uwanja wazo lako sio BAYA kwa vile vinavyojengwa angalau kimoja apewe Samata na kingine John Bocco
wakati wa viwanja kupewa majina yao bado, waanze kwanza akina Tenga na wenzake ndio waje akina samatta na bocco. Hata hivyo waache rekodi za kutukuka watakapostaafu soka
 
Hakika.. Nilijua aAl hilal imepoteana ila kumbe bado wako vizuri mno wananistaajabisha hapa kwa mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…