Jaji matundu
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 251
- 92
Jamani ninasumbuliwa na tatizo la Dushe kutokudinda vizuri tangu 29/2 Mwaka huu nimeoa na nina mke na ninashindwa hata nianzeje kumuambia tatizo langu, nimebaki ku mkwepa kwepa.
Nimekwenda hospitali wakaniambia hili tatizo linasababishwa na mambo mbalimbali ya kisaikolojia kama vile kuwa na stress, kutokupata mda wa kutosha wa kupumzika. Nimejaribu kufuata niliyoshauriwa lakini bado nahitaji msaada zaidi kutoka kwenu wanabodi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati nisadieni.
cc Gorgeous mimi et el
Nimekwenda hospitali wakaniambia hili tatizo linasababishwa na mambo mbalimbali ya kisaikolojia kama vile kuwa na stress, kutokupata mda wa kutosha wa kupumzika. Nimejaribu kufuata niliyoshauriwa lakini bado nahitaji msaada zaidi kutoka kwenu wanabodi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati nisadieni.
cc Gorgeous mimi et el