Ntigy
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 489
- 267
Pole sana mkuu! Pata muda wa mazoezi,kula mchemsho wa nyanya chungu zile za asili usunge chochote,even chumvi,kutwa mara tatu.
Kunywa mchanganyiko wa
asali mbichi,mziwa ya uvuguvugu,yai bichi la kuku wa kienyeji na mdalasini!
Kwa mahitaji ya asali mbichi wasiliana nami kwa pm
Kunywa mchanganyiko wa
asali mbichi,mziwa ya uvuguvugu,yai bichi la kuku wa kienyeji na mdalasini!
Kwa mahitaji ya asali mbichi wasiliana nami kwa pm