Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Mungu alitupa uwezo thabiti wa kufikiria, kujidhatiti, kuchukua tahadhari, kujilinda na mambo kadha wa kadha. Adui hasamehewi kirahisi na usimpe fursa ya ukaribu, ukizubaa anakumoa bila huruma.
Ushujaa ni neno zito sana na linahitaji kutumika kwa wapigania uhuru na mwenye harakati za kujikomboa,
Sioni mantiki ya Magufuli kuitea SHUJAA kwa lipi hasa wakati alikufa katika mazingira ya kizembe sana.
Tuache kuwapa watu majina ambayo hawana sifa nayo, Magufuli haikuwa na ushujaa wowote labda mtumie neno jasiri ama mbabe nje na hapo msichafue kamusi ya tafsiri ya neno SHUJAA.
Tupambane kwa hoja na sio vinginevyo, ukija kwa hoja nakubatua kwa hoja ukija kwa vijembe ntakupa nginja nginja kama zote.
"Mwewe mwenda kasi halali njaa"
Wadiz
Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
Ushujaa ni neno zito sana na linahitaji kutumika kwa wapigania uhuru na mwenye harakati za kujikomboa,
Sioni mantiki ya Magufuli kuitea SHUJAA kwa lipi hasa wakati alikufa katika mazingira ya kizembe sana.
Tuache kuwapa watu majina ambayo hawana sifa nayo, Magufuli haikuwa na ushujaa wowote labda mtumie neno jasiri ama mbabe nje na hapo msichafue kamusi ya tafsiri ya neno SHUJAA.
Tupambane kwa hoja na sio vinginevyo, ukija kwa hoja nakubatua kwa hoja ukija kwa vijembe ntakupa nginja nginja kama zote.
"Mwewe mwenda kasi halali njaa"
Wadiz
Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi