Maumivu waliyopitia watu wa Arsenal msimu uliopita unayajua? And now wako wapi?Jamani my dada mbona unanicheka wakati mdogo wako nalika ndani kwa ndani?Hunihurumii? Au mpaka usikie vinginevyo?
Mkuu karibu sana PM Niko kwa ajili yakoNi muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Sehemu bora ya kutoa sumu na ujinga wote ndani yako ni jf pekeeNi muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Usije ukafanya kama Yona. RIP Yona.Jamani my dada mbona unanicheka wakati mdogo wako nalika ndani kwa ndani?Hunihurumii? Au mpaka usikie vinginevyo?
Una kifua cha kutunza siri?πNjoo uniambie. Nina sikio la kusikiliza, na mdomo wa kuitikia mhh na eheee. πππ
Sasa chelsea imeingiaje hapa jamami..πππMaumivu waliyopitia watu wa Arsenal msimu uliopita unayajua? And now wako wapi?
Chelsea sahivi wana hali gani? Wanashuka daraja. Lakini bado wana imani, msimu ujao watatoboa.
Basi nawe yafaa uwe na subra π
Kila gumu lina mlango wa kutokea.
Pole kwa unayopitia. Kama shida ni mtu wa kumwambi, sidhani kama unakosa watu wa karibu unaowaamini.
Magumu mnayopitia hata Lampard haelewi π€£π€£π€£Sasa chelsea imeingiaje hapa jamami..πππ
Utakutana na mianaume mbinuko huko PM uje na lawamaNi muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Halafu sikujua, Kvanga iko poa sana.Mkuu ukikosa kabisa wa kuongea nae piga KVant ndogo inaweza saidia kuvusha siku.
Tuachane jamani...khaaaa, tumeacha kuangalia mpira, lakin bado mnatuandama mpka hukuMagumu mnayopitia hata Lampard haelewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]