Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Maneno mazuri lakini watu wengi sio waaminifu ,hasa marafiki wanaumiza mno mm huwa nayazika moyoni kimtindo ila muhimu kuwa na subra Kila jaribu huwa mlango wa kutokea
Hakika hakuna jambo linalodumu na inatakiwa kufahamu hakuna mtu asiyekuwa na changamoto lakini wengine Huwa wanazificha kwa tabasamu japo mioyo Yao inavuja damu. Kinachowaumiza wengi na kuwaacha na maumivu moyoni ni ile hali ya kuangalia maisha ya watu wengine mitandaoni.
 
Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?

Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.

Sijui nifanyeje?
Haya sasa, fungua inbox waje
 
Chelsea imekuwa punching bag kila timu inajichukulia points tu sasa hivi. Ombeni Cytzen apoteze japo game mbili na nyingi mshinde game zote 😀😀😀
Madueke karudisha 😂😂😂

Cc Aaliyyah
 
Hakika hakuna jambo linalodumu na inatakiwa kufahamu hakuna mtu asiyekuwa na changamoto lakini wengine Huwa wanazificha kwa tabasamu japo mioyo Yao inavuja damu. Kinachowaumiza wengi na kuwaacha na maumivu moyoni ni ile hali ya kuangalia maisha ya watu wengine mitandaoni.
Real watu wanapitia magumu sana ila tukionawatu wanafurahi tunahisi wakopoa lkn kilamtu ana mzigowake mwingine ni mzito kukuzidi tukubali changamoto zitufunze ila zisituvunje moyo safar Bado sana
 
Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?

Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.

Sijui nifanyeje?
Wahuni wanaulizaga "chura ipo"? Na mimi inabidi niulize hivohivo
 
Maumivu waliyopitia watu wa Arsenal msimu uliopita unayajua? And now wako wapi?

Chelsea sahivi wana hali gani? Wanashuka daraja. Lakini bado wana imani, msimu ujao watatoboa.

Basi nawe yafaa uwe na subra 😚
Kila gumu lina mlango wa kutokea.
Pole kwa unayopitia. Kama shida ni mtu wa kumwambi, sidhani kama unakosa watu wa karibu unaowaamini.
kumbe ww tena ni shabiki wa mpira , asee
 
Real watu wanapitia magumu sana ila tukionawatu wanafurahi tunahisi wakopoa lkn kilamtu ana mzigowake mwingine ni mzito kukuzidi tukubali changamoto zitufunze ila zisituvunje moyo safar Bado sana
Hasa Macelebrity aisee Huwa nawasoma body language zao nagundua Kuna vitu haviko sawa. Hebu jaribu hata kumuangalia Diamond anapozungumza sio anapoimba utagundua Yuko na msongo sana. 😀
 
Real watu wanapitia magumu sana ila tukionawatu wanafurahi tunahisi wakopoa lkn kilamtu ana mzigowake mwingine ni mzito kukuzidi tukubali changamoto zitufunze ila zisituvunje moyo safar Bado sana
Haya mambo ni kama kuumwa tu, ukienda hospital unaweza kujiona wewe hauumwi sababu utakutana na watu wanamaugonjwa hadi utashangaa.

Vivo hivyo kwenye kichwa cha mtu, kuna experience mtu akikusimulia au ukijua ashazipitia unaweza kuona wewe maisha yanakupendelea.
 
Back
Top Bottom