Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Carleen nimependa ushauri wako
 
[emoji123] umesema kweli
 
Huwa najuaga wajinga hamna stress. Sijui imekuaje tena hapa.

Wewe historia ya maisha yako unataka kumueleza mtu ili iwe nini, kwanza huna akili. Mkishashiba tu mnakimbilia kutapika jf
 
Jamani my dada mbona unanicheka wakati mdogo wako nalika ndani kwa ndani?Hunihurumii? Au mpaka usikie vinginevyo?


Kwa huu uandishi, human rights inaweza ku
Huwa najuaga wajinga hamna stress. Sijui imekuaje tena hapa.

Wewe historia ya maisha yako unataka kumueleza mtu ili iwe nini, kwanza huna akili. Mkishashiba tu mnakimbilia kutapika jf

Hii ni human righta issue impossed to Africa and financed by us, with no chance fo be implemented in Uganda.
 
Kuna stress na stressor, please avoid stressors like mtu usie muelewa na kukomaa humo,in fact hii dunia fanya yako as long uko safe.
 
Unataka mtu gani tena, si unaongea na sisi hapa JF?
 
Pole sana , utampata
 
Maneno mazuri lakini watu wengi sio waaminifu ,hasa marafiki wanaumiza mno mm huwa nayazika moyoni kimtindo ila muhimu kuwa na subra Kila jaribu huwa mlango wa kutokea
Amina kamamaa,
Mungu azidi kututia nguvu..!!
 
Pole sana mkuu.
Mungu akutie nguvu
 
Kuna Uzi uko juu unasema kukaa upweke ni sawa na kuvuta sigara 15 kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…