Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Friji linagandisha ? 😂Njoo uniambie. Nina sikio la kusikiliza, na mdomo wa kuitikia mhh na eheee. 😀😀😀
#kifua cha kumezea kipo.
Wewe ni me au ke?Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Ondoa watu wanaokuumiza katika circle yakoFafanua zaidi.
Karibu kwanguNi muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.Sehe
Sehemu bora ya kutoa sumu na ujinga wote ndani yako ni jf pekee
Huku ndiko mimi huongea ambayo siwezi kuongea uraiani.
Jitu lisilonijua likitukana, likafie mbele hukoNa bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Kwanza nikupongeze kwa baraka ulizopewa na Mungu trudieNa bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Ongea na mimi babu.Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
kweli kabisa.... ukiomba ushauri humu wanatanguliza matusi....Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Dada Deborah wa form 4 liva, nisameheee mdogo akoNjoo uniambie. Nina sikio la kusikiliza, na mdomo wa kuitikia mhh na eheee. 😀😀😀
#kifua cha kumezea kipo.
Nishakuambia in case you need help or someone to to talk to, then just tell me rafiki trudieNa bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Yaani huku ukija kuomba ushauri kama upo down jiandae kuongeza stress, watu wenye busara wapo wachache sanakweli kabisa.... ukiomba ushauri humu wanatanguliza matusi....
mimi mpaka hiyo post nishaifuta 😅 hadi kuitwa 'shoga' kisa ni mwanaume afu naomba ushauri, nikaona isiwe kesi....Yaani huku ukija kuomba ushauri kama upo down jiandae kuongeza stress, watu wenye busara wapo wachache sana
Huwa najuaga wajinga hamna stress. Sijui imekuaje tena hapa.
Wewe historia ya maisha yako unataka kumueleza mtu ili iwe nini, kwanza huna akili. Mkishashiba tu mnakimbilia kutapika jf