Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Napata wapi mtu wa kuongea naye?

Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?

Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.

Sijui nifanyeje?
Wewe ni me au ke?
 
Nikupe wazo?Simulia kwa kujirecord voice notes halafu post hapa jf maana kuandika kama mkasa ni mrefu ni kazi kubwa, au simulia kwa njia ya YouTube channels kwa sasa ziko nyingi, ukisimulia utakuwa umetua mzigo kwa kiasi kikubwa, baadhi ni Davista Mata na kuna Tiki Tv.
 
Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?

Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.

Sijui nifanyeje?
Karibu kwangu
 
Sehe

Sehemu bora ya kutoa sumu na ujinga wote ndani yako ni jf pekee
Huku ndiko mimi huongea ambayo siwezi kuongea uraiani.
Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
 
Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Jitu lisilonijua likitukana, likafie mbele huko
 
Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Kwanza nikupongeze kwa baraka ulizopewa na Mungu trudie
 
Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?

Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.

Sijui nifanyeje?
Ongea na mimi babu.

Hutajuta...
 
Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
kweli kabisa.... ukiomba ushauri humu wanatanguliza matusi....
 
Na bado watu watakusema na kukutukana kwamba unaexpose privacy yako as if wanakujua vile.....sometimes mtu unakosa wa kuongea nae sio kwamba hawapo ila ni kwamba haupo comfotable kuongea. Jf utatoa yote ingawa jiandae kwa matusi na judgment za kutosha.
Nishakuambia in case you need help or someone to to talk to, then just tell me rafiki trudie
 
Yaani huku ukija kuomba ushauri kama upo down jiandae kuongeza stress, watu wenye busara wapo wachache sana
mimi mpaka hiyo post nishaifuta 😅 hadi kuitwa 'shoga' kisa ni mwanaume afu naomba ushauri, nikaona isiwe kesi....
 
Huwa najuaga wajinga hamna stress. Sijui imekuaje tena hapa.

Wewe historia ya maisha yako unataka kumueleza mtu ili iwe nini, kwanza huna akili. Mkishashiba tu mnakimbilia kutapika jf
images (6).jpeg
 
Back
Top Bottom