Napata wapi tena salary slips baada ya kugoma kupatikana mtandaoni?

Napata wapi tena salary slips baada ya kugoma kupatikana mtandaoni?

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Umuofia kwenu!!

bado hiyo document haipatikani mtandaoni mpaka leo. maisha yetu ni kukopa na kulipa kila leo.....mwezi julai unakuja, mwezi wa kusomesha vijana wetu. jana nimefika kwenye taasisi ninayokopea wanataka na salary slip ya mwezi mei 2021 na si vinginevyo. naipata wapi, dar au dodoma?!!!
 
Hauna utumishi portal? Siku hizi watu wana download kwenye simu tu hivyo vikaratasi.
 
Hauna utumishi portal? Siku hizi watu wana download kwenye simu tu hivyo vikaratasi.
ya mwezi mei inagoma huko mtandaoni hadi leo, ndicho ninakisema. zinatoka za nyuma tu
 
Ya mwezi MEI ipo mtandaon , nadhan NI wiki ya pili sasa tangu ianze kupatikana
Screenshot_2021-06-18-10-53-16-119_com.android.chrome.jpg



Mkuu, haipo labda kama me nakosea mahala.
 
Umuofia kwenu!!

bado hiyo document haipatikani mtandaoni mpaka leo. maisha yetu ni kukopa na kulipa kila leo.....mwezi julai unakuja, mwezi wa kusomesha vijana wetu. jana nimefika kwenye taasisi ninayokopea wanataka na salary slip ya mwezi mei 2021 na si vinginevyo. naipata wapi, dar au dodoma?!!!
Rekebisha account yako,salary slip zipo mtandaoni kama kawaida.Imebidi ni log in kabla ya kukujibu hapa.
 
Back
Top Bottom