The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Ni kweli mkuu, marry me inasumbua sana nchi za nje, juzi nilikua korea kaskazini kwa kiduku wimbo wa marry me unapigwa sana kwenye club za mjini pyongyang.Top ten za moscow inashika namba 6, Somalia ndio kama wimbo wa taifa wa Alshabab, Gaza ndio wimbo wa kuitia kwenye sim ya Mahamud Abbas, Italy ndio usiseme kila wiki unashika namba 2 kwenye top ten yao. Wimbo bado unafanya vizuri.Diamond anawaza mbali sana... Anajua Marry you bado inasumbua sana nchi za nje, hivyo hizi nyimbo ametoa kupunguza kiu ya mashabiki tu, ila naamini kuna kitu kikubwa anaandaa ila muda wake bado... by the way nyimbo nzuri!
Tembelea maeneo ya Mosul, Raqa, Islamabad kote huko unatamba. Diamond sio wa nchi hii.