Jibu unalo ingia kazini,usisubiri mambo fulani fulani yakae sawa.Biashara ya nafaka.. Halafu Nina mtaji wa 1.5M ,
Chakula kina lika, tafuta sehemu utakapopata kwa bei elekeziBiashara ya nafaka.. Halafu Nina mtaji wa 1.5M ,
Kuna watu wametawala sana Masoko. Pia nimeshuhudia watu walioanza hii biashara, dakika za mwisho, walifunga biashara.Chakula kina lika, tafuta sehemu utakapopata kwa bei elekezi
Mmmm mtaji 1.5m mdogo sana...unajua gharama zako ? Frame....kununua mzigo etc....labda ujipange tena....au fungua genge sehemu nzuri uzungushe ufike hata 10m uwe genge na frame nafaka..Biashara ya nafaka.. Halafu Nina mtaji wa 1.5M ,
Biashara zetu nyingi zinakufa kwa sababu tunakuwa hatuna ''business plan'' ambayo ingeelezea namna ya kushughulika na changamoto mbali mbali, wengi tunaanzisha biashara kwa kuigana tu, leo mimi nimefungua na wewe kesho umetamani umefungua.Kuna watu wametawala sana Masoko. Pia nimeshuhudia watu walioanza hii biashara, dakika za mwisho, walifunga biashara.
Sijafanikiwa kuongea nao, walioanza na wakafunga hii biashara. Sababu kipindi wanafunga nilikuwa sijawaza kufanya biashara hii
Kama unauzoefu naomba nishirikishe
Nashukuru mkuuBiashara zetu nyingi zinakufa kwa sababu tunakuwa hatuna ''business plan'' ambayo ingeelezea namna ya kushughulika na changamoto mbali mbali, wengi tunaanzisha biashara kwa kuigana tu, leo mimi nimefungua na wewe kesho umetamani umefungua.
Unapoingia katika biashara usiangalie sana wanachofanya wengine maana watakukatisha tamaa,ukichunguza biashara zinavyoenda utagundua mtaji wako ni mdogo sana,hivyo nguvu ile uliyokuwa nayo hapo kabla itapotea,na unaweza kuhairisha hilo zoezi,Ukianzisha biashara jitoe wewe binafsi,ukiona unapata sababu za kwanini hujaanza,ujuwe bado una safari ndefu kufika huko unakotaka kwenda.Sijaanza hii biashara sio Kwa sababu Mtaji haujatimia ila watu wengi sana wanaifanya..
Wazo.
Naanzaje, na nitawezaje ku,compete na wazoefu?
Kumradhi Ndugu yangu.
Nawaza kuanzisha biashara ila sijafikia muafaka mawazo yangu.
Sijazaliwa kwenye familia yenye umaridadi sana na biashara, ila hii haimanishi kwamba siwezi kufanya biashara.
Naamini naweza kuwa Maridadi sana kwenye Biashara.
Nahitaji data na mawazo Yako, Ndugu yangu, nahitaji kujua Kutoka kwako, kama Kuna engo ya biashara unauzoefu nayo au Kuna biashara unaielewa vizuri, naomba nishirikishe mawazo Yako.
Mimi nahitaji nipate pakuanzia mawazo yangu, kama nilivyotangulia kusema Sina Msingi mzuri wa mawazo ya biashara.
Nahitaji Msaada wako Ndugu yangu, Rafiki yangu, MwanaJamiiForum Mwenzangu
Nashukuru mkuu..Achana na perfection na procrastination,...... hilo tatizo naona wazi linakumaliza,....pia limewakimbiza waajiriwa wengi kwenye BIASHARA....kabla ya kufanikiwa kuna kufeli tena zaidi ya mara moja,...
note;. hauhitaji wazo sahihi kwa asilimi 100 wala kwa umaridadi mkubwa kama ulivyo andika mwenyewe,...
Sipendi kuandika sana na wala sio mwandishi mzuri,..ila ntakupa mfano wa biashara yangu kwa ufupi sana,....
Biashara yangu ya tatu kuanzisha, baada ya uchunguzi wangu nilibaini nahitaji mtaji usiopungua 2.5 mil kwa kima cha chini kabisa kuanza,....
Nikiwa namalizia kukusanya huo mtaji,..shida kubwa ya afya ikajitokeza kwa mpendwa wangu,..ikakatika 1.3mil...
Kumbuka huo mtaji nimekusanya ndani ya miaka 2....
Sikukata tamaa, kwani kuvunja mpango, au kukopa haikuwa inawezekana kwangu,...nikasema ntaajaribu hivyo hivyo,...kazi niliyofanya kukusanya hiyo hela ni za kuunga unga sana,...
katika harakati za kuanza biashara nikafanya makosa na kupoteza zaidi ya laki nne...(UGENI NA WASIWASI),...
So, mpaka naanza biashara ni kama nilianza na laki saba tu,..pesa ambayo hapo awali niliona haitoshi kabisa kuanza na kuendesha ile biashara,..
japo kwa ugumu flani, ilienda na kusimama,...
Note; huitaji perfect plan, or idea,....,...
mengi utajifunza hukohuko,..kikubwa uwe open minded,..mwenye malengo, uthubutu na kuto kukataa tamaa,....
Hako ka 1.5 unako kalinda linda kwa kutafuta perfect idea,..usije ukashaangaa unaanzisha biashara na kakaisha ndani ya mwezi tu mtaji umekata na watu wa mapato wanataka chao,....
all the best...
Asante sana Evelyn SaltBaadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima. HIZI NI MOJA YA NJIA ZA KUPATA WAZO LA BIASHARA 1. TUMIA UJUZI ULIO NAO Ujuzi ulionao ndo sehemu ya kwanza kabisa...www.jamiiforums.com
Kwa kukuongezea.....
Angalia biashara ambazo we unapenda kwanza, kuna kile kitu tu kipo ndani yako unakipenda....mfano mi huwa napenda biashara ya chakula naipenda, pia huwa napenda kuuza viatu vya watoto (siifanyi kwa sasa ila naipenda)
Pili mtaani mtaani angalia kuna fursa gani ambazo zipo available, mfano uswaziii unajua mchana mtu anapika ugali robo mboga ishu....kwahiyo we unaweza kuprovide hizo mboga dagaa wa kukaanga, kuku nk