Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweza kukukopesha hiyo pesa mimi binafsi. Kama upo seruious ni pm ila kiwanja kiwe na hati.Nahitaji mkopo wa million 3 nipo na kiwanja 20×20 kipo kigamboni naomba miongozo
Note: isiwe hizi microfinance
Njoo pm tuongeeNahitaji mkopo wa million 3 nipo na kiwanja 20×20 kipo kigamboni naomba miongozo
Note: isiwe hizi microfinance
Mkuu kiwanja kiwe na hati tu na nijihakikishie maana hata ww unaweza kunitapeli vile vile...Mkuu kuwa serious usiitumie hii kama fursa ya kunitapeli
Mmmmh! hapo basiHati ya wilayani sina ila naweza itafuta kama haitakuwa na mlolongo mrefu