Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Msanii wa kiume au mwanaume yeyote nikimwona aidha kwenye video au live amevaa hereni nakuwa na hasira sana.
Sometimes huko mitandaoni nakutana na wasanii nikisema niagalie kazi zao nikiona tu wamevaa mihereni wananikata stimu naskip .
Mwanaume akivaa hereni akinishobokea namsalimia 'dada mambo' ili apanic nimchanePole sana aisee... ndo dunia ilivyo saizi wala hata usiogope
Huo sasa ukorofi mkuu😃🤣🤣🙌Mwanaume akivaa hereni akinishobokea namsalimia 'dada mambo' ili apanic nimchane
Kaa nao mbali tu mkuu, sasa sijui ukikutana na wa mchele mchele utajiskiaje?Msanii wa kiume au mwanaume yeyote nikimwona aidha kwenye video au live amevaa hereni nakuwa na hasira sana.
Sometimes huko mitandaoni nakutana na wasanii nikisema niagalie kazi zao nikiona tu wamevaa mihereni wananikata stimu naskip .
Uzi ufungwe hapa.Baki huko huko Tanzania.
Wengine tulipokuja nchi za watu tulikereketwa mpaka tulipojitambua ta kuwa, mambo ya watu ni ya kwao.
Kila mtu aishi maisha yake anavyojisikia.
The fact is, huwezi kubadilisha chochote. Na zaidi, haikupunguzii chochote pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaa nao mbali tu mkuu, sasa sijui ukikutana na wa mchele mchele utajiskiaje?
Msanii wa kiume au mwanaume yeyote nikimwona aidha kwenye video au live amevaa hereni nakuwa na hasira sana.
Sometimes huko mitandaoni nakutana na wasanii nikisema niagalie kazi zao nikiona tu wamevaa mihereni wananikata stimu naskip .
Kaedit nyingine,hiyo inaonekana wazi sana,
Kaedit nyingine,hiyo inaonekana wazi sana,
Naona imekuuma mimi kuwasema machoko wenzako.
Narudia tena,imekuuma sana mimi kuwasema machoko wenzako,Papa kaidhinisha huko,subiri uje uposwe tu.Mkuu kaa kutulia au hupendi kuona mashoga ya kiislamu?
Kaedit nyingine,hiyo inaonekana wazi sana,
Naona imekuuma mimi kuwasema machoko wenzako.