Nape amenusa badiliko la baraza la mawaziri. Ameamua kutumia saikolojia ili tusishangae akienguliwa.

Nape amenusa badiliko la baraza la mawaziri. Ameamua kutumia saikolojia ili tusishangae akienguliwa.

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Iko hivi Nape na yule wa Nje wataenguliwa kwa uchu wa madaraka. Wao wanautaka Urais hata leo. Bahati mbaya Bosi amepata taarifa zao zote na wanaoshirikiana nao ktk mchezo huo mchafu.

Elimu ya kuungaunga na kujisikia kwiiiingi. Sasa urais wanautaka ilihali kijiti kinashikiliwa bado.


Updates: YAMETIMIA
 
Iko hivi Nape na yule wa Nje wataenguliwa kwa uchu wa madaraka. Wao wanautaka Urais hata leo. Bahati mbaya Bosi amepata taarifa zao zote na wanaoshirikiana nao ktk mchezo huo mchafu.
Basi amechelewa kupata taarifa, walio karibu yake bado hawajamsaidia. Mbona hili liko wazi siku nyingi, ili afanikiwe anahitaji kuondokana na watu kadhaa waliopo karibu yake maana hao ni nyoka wenye sumu kali.
 
Basi amechelewa kupata taarifa, walio karibu yake bado hawajamsaidia. Mbona hili liko wazi siku nyingi, ili afanikiwe anahitaji kuondokana na watu kadhaa waliopo karibu yake maana hao ni nyoka wenye sumu kali.
Hivi SSH anaweza kushindwa kabisa kujua kuwa raisi wa mawe ni joka Tena anamuwinda kumtafuna mapema mwakani??
 
images (9).jpeg
 
Hivi SSH anaweza kushindwa kabisa kujua kuwa raisi wa mawe ni joka Tena anamuwinda kumtafuna mapema mwakani??
I wish angejua hili, yule siyo mtu wa kumkumbatia.
Na anamchukua hakupaswa kabisa kumuweka jikoni,pale anazidi kujijazia minyama ya akiba kwa msimu wa njaa.
Namsikitikia sana Mama kwenye hilo hapo.
Sijui wanaomshauri hawaoni ama wana nia mbaya nao 😩😩
 
Iko hivi Nape na yule wa Nje wataenguliwa kwa uchu wa madaraka. Wao wanautaka Urais hata leo. Bahati mbaya Bosi amepata taarifa zao zote na wanaoshirikiana nao ktk mchezo huo mchafu.
kwahiyo kwasababu alijua ataliwa kichwa, anataka watu waamini kwamba ameliwa kwasababu amesema? kama inakuja hivi.
 
I wish angejua hili, yule siyo mtu wa kumkumbatia.
Na anamchukua hakupaswa kabisa kumuweka jikoni,pale anazidi kujijazia minyama ya akiba kwa msimu wa njaa.
Namsikitikia sana Mama kwenye hilo hapo.
Sijui wanaomshauri hawaoni ama wana nia mbaya nao 😩😩
Huenda washauri nao wanamuwinda. Unaambiwa huyu Rais anayemtetea barazani ni Mchengerwa tu. Tumwombe Mungu nchi hii isipasuke. Kuna watu ni WACHU WA MADARAKA NA WAMEJAA DHARAU.
 
Back
Top Bottom