Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu, damu ya binadamu huwa haipotei bure hasa kwa mtu asiyekuwa na hatia ni suala la muda tu huwa ni mwalimu mzuri sana.atapotea hvyo hvyo kama saanane..watu wataongea after one months wanasahau...kama sa8 alivyopotezwa
Tumieni akili hata kidogo jamani!! Yaani idara zetu za isalalama zishindwe kabisa kujua kuwa kuna hujuma kama hizi!!??Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!
mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
kama zikijua, wewe unafanya nini?Tumieni akili hata kidogo jamani!! Yaani idara zetu za isalalama zishindwe kabisa kujua kuwa kuna hujuma kama hizi!!??
hahahahaaaa sasa unakasirika nini sasa kwani wabana pua ni kina nani mpaka ukasirike??? nilimaanisha Bima leeTuheshimiane mkuu maana hunijui na sikujui. Nimeandika kulingana na kile ninachokifahamu. Miziki ya hawa vijana naisikia sana lakini siwafahamu kwa kina. Inapotokea hali kama hii nafuatilia kwa kina maana hata juzi swala la ney nilifanya hivihivi. Ila ingekuwa zile enzi za Bima Lee au OSS nisingeuliza. Nadhani umenielewa.
Bima Lee unawafahamu lakini au hii 0.25 imekukumba pia!hahahahaaaa sasa unakasirika nini sasa kwani wabana pua ni kina nani mpaka ukasirike??? nilimaanisha Bima lee
nauliza tena kwa nini kukasirika juu ya wabana pua????Bima Lee unawafahamu lakini au hii 0.25 imekukumba pia!
0.25 ndo nilichobaininauliza tena kwa nini kukasirika juu ya wabana pua????
hahahahaaaaa katika kila wanne na mimi nimo au sio?.... vipi ushamjua ROMA sasa?0.25 ndo nilichobaini
Kila la herihahahahaaaaa katika kila wanne na mimi nimo au sio?.... vipi ushamjua ROMA sasa?
Mmechoka hata kutumia akili!kama zikijua, wewe unafanya nini?