BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
ETI KIKI INATENGENEZWA ILI BASHITE AUZE SURA KWAMBA YEYE NI SHUJAA AISE SIJAPATA KUONA DUNIANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Surely 100% hawa ndio viongozi wetu wa Africa alfajiri anaua asubuhi kanisani ,mchana msikitini anamaliza jioni kwa mgangaNina uhakika BASHITE anafahamu alipo Mkatoliki.
Ya clouds???Kuna habari gani kuhudu Mr Roma? Kasema nini kafanya nini kibaya labda? Alitishiwa? Je, inawezekana katekwa na mjambazi? Au wenzie wanabugomvu fulani? Kwa nini tushuke polisi?
From outside not within!Ukitaka uuliwe ndani ya dakika 3, kairipoti Nchi huko
Hakuna kitu wanachoogopa kama kuexpose hayo maovu.
Kama alivyofanya Albert Daud Bashite Clous FM...@waberoya mdogo wangu umekula maharage ya wapi?Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!! mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
Kumbe alijua....mtoto akililia wembe mpe...Leta defender/Leta wajeda/
Leta wagambo Roma nimejitoa sadaka/
na mkitaka kuniua hakikisha sifii hapa/
Nichinjeni mkanitupe daraja la Mkapa /
Viva Roma vivaaaa
Vivaaaa roma vivaaaa aa eeeh
Bendera Bendera [emoji445][emoji445][emoji445]
Mkuu, hawa hawajielewi, waliweza kusema kuwa mzee Ngoyai ni fisadi halafu hao hao wakapiga deki barabara kule Mwanza, maana yake ni rahisi sana kushikiwa akili.Na Makonda lipotangaza wauza madawa wako wengi polisi, mkamwona mbaya!!
Hamna kitu vijana wa prison break na city hunter wanapatikana wa ngozi nyeupe hi nyeusi bado sana kwa kupiga doma aaaa hatujamboLeta defender/Leta wajeda/
Leta wagambo Roma nimejitoa sadaka/
na mkitaka kuniua hakikisha sifii hapa/
Nichinjeni mkanitupe daraja la Mkapa /
Viva Roma vivaaaa
Vivaaaa roma vivaaaa aa eeeh
Bendera Bendera [emoji445][emoji445][emoji445]
Kaulize Clouds MediaNi mapema sana kufahamu nani yuko juu ya upoteaji wa wanamuziki.
Isije ikawa ni njama ya kundi fulani kutafuta
msaada wa kupaza sauti kupitia sanaa au kundi lingine kutumia mwanya huo kufutilia mbali kile kinachoitwa muziki wa uhanarakati.
Lakini pia wasanii/msanii mwenyewe anaweza kujiteka/kujificha ili tu aurejeshe umaarufu wake
uliopotea ili atakapotoa wimbo apate atension/kiki.
Ni vyema tukavuta subra na kuchunga mdimi zetu
kwani lolote lawezekana.
Akina Le-mutuz na genge lake sasa wana vikundi hatari sanaTANZANIA TANZANIA TANZANIA MBONA GAFLA SIYO MAHALI SALAMA TENA?