Nape amsaliti rasmi Benard Membe

Nape amsaliti rasmi Benard Membe

GARETHBALE

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
76
Reaction score
333
Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.

Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.

Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.

Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.

Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.

Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.

Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
 
Nape ni uozo kama zilivyo takataka zingine ndani ya CCM. Hakuna cha umuhimu kwao kama matumbo yao. Ni ajabu huko Ukraine kila siku waziri mkuu anaomba kujiuzulu ila anaombwa na wananchi huku kwetu Urais wa mabavu mpaka kuuana. Inasikitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nape ni uozo kama zilivyo takataka zingine ndani ya CCM. Hakuna cha umuhimu kwao kama matumbo yao. Ni ajabu huko Ukraine kila siku waziri mkuu anaomba kujiuzulu ila anaombwa na wananchi huku kwetu Urais wa mabavu mpaka kuuana. Inasikitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku ni africa,kwa watu waliostarabika Magufuli anawezaje kwanza kuwa rais
 
Weweeeee ile siasa ndg!

Kwa kisaikoloji wewe ulishindwa hata kumsoma Makamba!??

Ok,kuna tetesi zilivuma sana kuwa mzee baba haachii nchi wakati flani hivi ila ukiyafuatilia maneno ya Nape kwa umakini wa hali ya juu sana

Anampongeza ndg Magufuli kama anavyodai huku akisema tumempa “furksa” ya kuongoza miaka mitano na tutampitisha tena mwaka huu ili amalizie furksa ya miaka “mitano” mingine.

.sasa ukichunguza kwa makini mchango wa Nape unagundua yafuatayo

-Nape amempongeza serikali ya CCM, na pia kumpata Ndg Magufuli aliyeongoza vizuri ndani miaka mitano iliyopita,hivyo NAPE ukasema tutampa miaka mingine “mitano” amalizie yale tuliyomtuma. kwa makini maneno ya mwisho ya mchango wake yanaashiria kuwa :


-kazi aliyotumwa na CCM ameitendea vyema
-watampa tena “furksa” aliyopewa ili amalizie kazi waliyomtuma na SI KUONGEZA MUDA kama inavyosadikika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shushushu mkongwe na mbobevu ameshindwaje kujua km Nape sio wa kuaminiwa!!! na alishawaingiza mjini CCJ!!! Pia ameshawaingiza mjini wtz bunge live!! Let's count this as first huge mistake of the so called shushushu nguli!!
 
Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.

Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.

Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.

Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.

Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.

Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.

Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Hongera kwa kumiliki laini ya airtel!
Airtel baba lao
 
Sijaelewa hli.
Kuna mbadala wa CCM ambao wamo CCM?
Mbadala nje ya CCM na mbadala mwingine?
Kupiga magoti ni ukomavu. Nani msaliti hapa?
Msaliti aliesalitiwa au?
Kusini kuna mambo!
 
Kila mtu aishi atakavyo buana ili mradi havunji Sheria za nchi, ni mtoto mdogo pekee anayepaswa kuchungwachungwa na kufundisha namna ya kuishi, Ishi kivyako na Mh Nape aishi kama alivyochagua, na Membe atafute marafiki wengine kwani ni lazima Nape awe kama kupe Kwa Membe??
 
Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.

Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.

Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.

Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.

Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.

Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.

Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Kwamba wakati wengine wanahangaika usiku na mchana kutangaza kazi kubwa ya maend.jpg
 
Weweeeee ile siasa ndg!

Kwa kisaikoloji wewe ulishindwa hata kumsoma Makamba!??

Ok,kuna tetesi zilivuma sana kuwa mzee baba haachii nchi wakati flani hivi ila ukiyafuatilia maneno ya Nape kwa umakini wa hali ya juu sana



Anampongeza ndg Magufuli kama anavyodai huku akisema tumempa “furksa” ya kuongoza miaka mitano na tutampitisha tena mwaka huu ili amalizie furksa ya miaka “mitano” mingine.





.sasa ukichunguza kwa makini mchango wa Nape unagundua yafuatayo


-Nape amempongeza serikali ya CCM, na pia kumpata Ndg Magufuli aliyeongoza vizuri ndani miaka mitano iliyopita,hivyo NAPE ukasema tutampa miaka mingine “mitano” amalizie yale tuliyomtuma. kwa makini maneno ya mwisho ya mchango wake yanaashiria kuwa :


-kazi aliyotumwa na CCM ameitendea vyema
-watampa tena “furksa” aliyopewa ili amalizie kazi waliyomtuma na SI KUONGEZA MUDA kama inavyosadikika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawakumwangalia Januari Makamba usoni ....kulikuwa na ujumbe fulani Nape anawasilisha amabao Januari naye alishiriki kuuandaa!
Ila kWabunge wengi wa CCM walikuwa wanashangalia wasichokijua!
 
Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.

Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.

Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.

Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.

Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.

Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.

Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.

Kwani wewe ni mungu au mchawi mpaka umtishe nape? Ukitaka si.lazima ukae kwa nape unaweza kukaa hata upinzani ili upambane nae vizuri.
 
Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.

Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.

Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.

Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.

Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.

Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.

Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Membe ni mwepesi kama pamba alishindwa hadi na January Makamba kwenye 5 bora.

Chadema mnatapatapa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo nape mnavyomuoverrate.
utadhani ni gwiji fulani hivi kwenye siasa za Tanzania.
 
Back
Top Bottom