thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawakumwangalia Januari Makamba usoni ....kulikuwa na ujumbe fulani Nape anawasilisha amabao Januari naye alishiriki kuuandaa!
Ila kWabunge wengi wa CCM walikuwa wanashangalia wasichokijua!
Asipojikomba akaukosa Ubunge utamlisha wewe?
Acheni mambo yenu Bana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba la korosho la Nape linahusiana nini na msaliti Membe?Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Shamba la korosho la Nape linahusiana nini na msaliti Membe?Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Dua la kuku hata siku moja halimpati mwewe. Mwewe ataendelea kuruka angani huku kuku akiendelea kulaani akiwa ardhini.Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.
Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.
Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.
Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.
Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.
Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.
Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Nape ni Msaliti ,Njaa utamuuaSalam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.
Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.
Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.
Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.
Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.
Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.
Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Mbona sijakuelewa kwani Membe atagombea ubunge ili awatetee bungeni?CCM ishagawanyika tayari.....Lindi na Ntwara wameamua kufa na Mzee Membe!!
parurareni tu "konde boys"....ifikapo October watu waokote mayai kiubwete ubwete tu!Salam Salam!.
Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi.
Nape anasahau jinsi 'Jivu' lilivyombeba dhidi ya Selemani Mathew mwaka 2015.
Kutokana na kitendo chake cha kwenda kupiga magoti, kitendo kilicholaaniwa na viongozi wa ccm wa Mtama na Lindi kwa ujumla, tulidhani angejirudi na kuona makosa yake, bwana Nape wamwera tunasema " Shaagalaulila Nngaikumba", stay tuned!.
Bwana Nape nikurudishe nyuma, nikukumbushe Maneno ya Marehemu mzee Nape Nauye mwaka ule, mimi nikikuwepo lkn hukuniona, wakati watu wanakabidhiwa iki ww ulelewe vyema kisiasa, umesahau?. Bwana Nape unakumbuka issue ya shamba lenu kubwa la kifamilia la korosho?.
Bwana Nape, unakumbuka ulivyodanganywa kwamba wananchi wa Mtama wanakusubiri wakupokee kwa shangwe kwa ushujaa wako wa kupiga magoti, unakumbuka uliambiwa na kushauriwa nn?, je ulivyorudi mtama unakumbuka ulikutana na jambo gan?.
Nape, unadhani dunia imesahau ulivyomchongea Dr Kipilimba kwa maneno yako ya uongo na kinafiki?.
Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Anuke wapi?