Nape amsaliti rasmi Benard Membe

Wanasiasa hivi hamjitambui? Nani wa kuamini nani na kwanini?
 
Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Shamba la korosho la Nape linahusiana nini na msaliti Membe?
Membe ameshafukuzwa ccm,akili ya kawaida tu lazima watu wamkimbie
Zile kelele zake sijui niguse nijambe ilikua ni mikwara,mbona kashindwa kutoa ushuzi mpaka leo?
 
Tukutane October 2020.
Naitwa Hamza Nasibu Chipalapala 0686 529 751. Napatikana kijiji cha Luponda, wilaya ya Nachingwea.
Shamba la korosho la Nape linahusiana nini na msaliti Membe?
Membe ameshafukuzwa ccm,akili ya kawaida tu lazima watu wamkimbie
Zile kelele zake sijui niguse nijambe ilikua ni mikwara,mbona kashindwa kutoa ushuzi mpaka leo?
 
Dua la kuku hata siku moja halimpati mwewe. Mwewe ataendelea kuruka angani huku kuku akiendelea kulaani akiwa ardhini.
 
Kwahiyo mnataka Nape Abaki na Membe aliyefukuzwa Chama???
 
Oil chafu anachekesha Kweli,kafanya hilo kwa sababu moja kati ya hizi kuahidiwa cheo,pesa au katishwa kulazimisha aseme aliyosema.
 
Nape ni Msaliti ,Njaa utamuua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliyenae anatosha Kwanza kwa sbb ya corona Naona hakuna haja ya uchaguzi mpaka 2025.
 
parurareni tu "konde boys"....ifikapo October watu waokote mayai kiubwete ubwete tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…