Nape anatakiwa ajiuzulu nafasi ya uwaziri wa mawasiliano kwa kushindwa kumlinda Rais dhidi ya matusi

Nape anatakiwa ajiuzulu nafasi ya uwaziri wa mawasiliano kwa kushindwa kumlinda Rais dhidi ya matusi

Akiamua kumuomba Mange.....sijui diplomasia ikoje.....amlete hapa Tanzania .....ila wana nyingi nyingi sanaaa......US wanaweza assign mtu ....akalipwa mbaaaliiii akamtafuta Mange poison au shoot and kill
 
Akiamua kumuomba Mange.....sijui diplomasia ikoje.....amlete hapa Tanzania .....ila wana nyingi nyingi sanaaa......US wanaweza assign mtu ....akalipwa mbaaaliiii akamtafuta Mange poison au shoot and kill
Unadhani wakimuuwa Kimambi hao USA ndio tatizo litaisha?🐼
 
Zamani alikuwepo Mwandishi wa Mfanyakazi Stan Katabalo

Akawepo Mwangosi

Ilisaidia chochote kuwaondoa? 🐼
Hao waandishi habari sio Mange....mkuu....!! Niko watukana matusi kwa interest zao....au kutumwa
 
Waziri wa mawasiliano yupo amekaa kimya mpaka anatokea mkuu wa mkoa kukemea.

Inamaana hakuna teknolojia nchi hii ya kuzuia watukanaji wa Rais either kuwakamata au kuzuia platform wanazotumia?
Kama hakuna basi ata kauli kuonesha serikali haipendezwi, mbona wengine wakitukana uwa mnakemea? Kigugumuzi kinatoka wapi?

Rais halindwi na Waziri...

TISS wapo wapi?
 
Hao waandishi habari sio Mange....mkuu....!! Niko watukana matusi kwa interest zao....au kutumwa
Mange ni Mtoto wa CCM ujue

Ndiye alimwingiza cha kike Freeman na UKUTA hatimaye Billicanas ikashushiwa Kitu kizito

Siasa za CCM ni za Kisayansi 🐼
 
Mange ni Mtoto wa CCM ujue

Ndiye alimwingiza cha kike Freeman na UKUTA hatimaye Billicanas ikashushiwa Kitu kizito

Siasa za CCM ni za Kisayansi 🐼
Siku akiji mix arudi utaelewa kama kweli ccm au thithienyuuu......
 
Nape mwenyewe hutukana watu mitandaoni ataweza mlinda boss wake!
Haha, yeye na washikaji zake ndio mabingwa wa kuwatukana Watanzania, wapinzani wengi wanatumia lugha hizo hizo za matusi, ukitumia matusi unaonekana wewe ni mtoto wa mjini, msela hata hapa JF matusi ndio kama lugha rasmi ya kuwasiliana.
 
Back
Top Bottom