Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Hivyo huyu nape nani kampa huwezo wa kuzungumza upumbavu kama huu.kasomea shule gani huyu?mbona anaongea pumba ?sidhani hata kama alifahuru somo la mahalifa ,maana-ake anaongea pumba sana.naona kama vile ana uwendawazimu au ukichaa fulani wa dkk 2 mbele .naomba atueleze hizo pesa kwenda kwa chadema ametoa nani sio ataje wazungu tu .hao niwatu nanitaasisi aitaje? ,huyu jamaa kweli ni kenge .ebu ccm muangalieni huyu jamaa yenu ,mnaelekea kubaya sana ,viongozi wenu wengi wa chama chenu wanaongea pumbasana ,jamani angalieni nyakati.mshaona kifo cha mendenyie ? Miguu juu.
 

Tatizo na jambo linalotisha ni kwamba hao wananchi ambao anawaeleza huo uharo WANAAMINI anachowaeleza. Mtaona kwamba anatumia propaganda ile ile ya Mhe Dikteta Robert Mugabe ya kuwaaminisha wananchi wake (tena wasomi) kuwa adui yao mkubwa ni WAZUNGU. Nepi anatumia neno WAZUNGU sio kwa bahati mbaya, bali anajua akiishawaambia wananchi wenye welewa mdogo wataamini kuwa adui ni Wazungu. Kwa bahati mbaya watu wenye welewa mdogo ambao ndio wengi hawawezi kumhoji kuwa mbona Mhe Rais wetu mpendwa Daktari JK huwa siku zote anatamba kuwa husafiri sana kwa WAZUNGU hao hao ili kutuhemelea vibaba tusije tukafa njaa🙁 Huu ni ushahidi kuwa mchakato wa Katiba Mpya umefikia ukingoni. Tuanze kuhamasishana kuanza upya baada ya Katiba ya CCM kupitishwa.
 

CDM wamesha mstukia Nape, sii sii eem hawana tena kile kitengo cha propaganda, wamebaki na kuzua mambo tuu. Nape anajua akisema huenda na ninyi mkazua yenu ili mshitakiwe. M/kiti Mbowe ana makesi zaidi ya 10 mahakamani. Yoote ya kuzuliwa, kama CCM wataweza kumfanya akasirike atamke uongo unaoweza kuthibitishwa, watapata mwanya wa kumfunga.
Aendelee kuzua mambo tu, ulimwengu ndo watamhukumu sio sisi. Uongo hujitenga ukakaa wenyewe. Hizo pembe na bangi zinazo kamatwa huko nje na zinawahusisha wakuu huko ccm hazioni ila anaona ati Dr. Slaa kapewa hela za kuchafua mchakato wa katiba. Poleni.
Akumbuke kampuni ya kujenga barabara ya mabasi yaendayo kasi, kimewalipukia hicho nacho. Angekuwa na data, hili lingefunikwa sawia. Sasa baasiii.
 
Huyu mropokaji na mada zisizo na vielelezo ni sawa kichwa cha wendawazimu. Nasema kukichafua cdm si jambo jepesi hata kidogo. Namshauri aacha kunya humu jamvini.
 
mfa maji huishia kutapatapa... Nape ni janga la taifa, ccm kimeushiwa sera wanabaki kuropoka tu.. Tanzania ya sasa sii ile ya zamani wasome alama za nyakati kuwa watanzania hawaitaki ccm tena...

Nape majanga
 
ni kweli nauliza kutokana na hizo tuhuma za nape.lakini hata hivyo siyo wewe tu bali hakuna kasuku yoyote anaeweza kujibu.

Usiwe na haraka majibu utayapata 2015..Sio mbali sana tuombe uzima..
 
Nape ni jembe la ukweli maana anaizika CCM kwa kishindo.
 
Hiyo ndo kazi yake nape, lazima aongee ili aingize siku haijalishi anaongea utumbo au uhalo
 
Nimeshangazwa sana na uchochezi unaofanywa na kuwadi wa ccm, Nape !hivi vyombo vya ulinzi na usalama vipo wapi kumuacha mtu kama Nape kuendelea kufanya uchochezi?lakini pia nimeshangazwa na uwezo hafifu alionao kiongozi wa ngazi za juu ndani ya ccm kama Nape, hivi Nape anashidwa kusoma alama za nyakati?bado anawafananisha watanzania wa leo na watanzania wa enzi zile? je baada ya wabunge wa upinzani kutoka nje, wabunge wake wa ccm walijadili hoja ya katiba au waligeuza bunge kuwa ukumbi wa mipasho iliyojaa kejeli na majigambo? je wabunge gani ambao wanatumia kodi zetu vibaya, binafsi naona wabunge wa ccm ndio wanaotufilisi pesa zetu za kodi! Je hoja ya kumlundika raisi madaraka ya kuteua wabunge wa bunge maalumu ni sahihi?nadhani ccm ndio mnaotaka kuharibu mchakato wa katiba na sio People's power! namshauri Nape uchochezi kama huo hauna nafasi katika watanzania wa leo

 
Nape umeanza uvuvuzela tena? Bahati mbaya una uwezo mdogo sana wa kujenga hoja na hakuna Mtanzania atakayekusikiliza! Kajipange upya!
 
Nape again........!!!!!! Bomu la Arusha CDM walijilipua (ushahidi, kapuni), haya sasa fujo bungeni, mabilioni kutoka kwa wazungu (kiasi gani, kimeingia kwa njia zipi,.....)?? Na kwa njia yoyote serikali mnayo nyinyi, jeshi mnalo nyinyi, usalama wa taifa mnao nyinyi, mnataka nini tena? Kamata watu wanaoingiza pesa nchini na ushahidi wake peleka mahakamani watanzania wenye akili wajionee na kufanya maamuzi magumu lakini sahihi....

Unalalama tu hii ni dalili mbaya sana kwa CCM na inathibitisha kukosa weledi katika siasa kwa vijana wachache waliopo ndani ya CCM au ni mamluki nini???
 
...Unamdanganya nani Nape?Hivi huwa huna aibu au unashinikizwa kusema hayo unayoyasema?We endelea kuwadanganya watz ilhali tunajua wazi kuwa CCM haijawahi kuwahurumia watz na kamwe haitakaa ifanye hivyo....CDM inataka wajumbe wa bunge la katiba waongezwe ilha Magamba mshije mkatumia wingi wenu wa sasa bungeni kupitisha maamuzi mabovu ya kujipendelea.Iwapo wajumbe watakuwa zaidi ya 700 hata magamba zaidi ya 300 mkipiga kura bado hamtakuwa mmefikisha robo tatu...POLE NAPE TUMEKUSHTUKIA,Upendo wa Simba kupiga magoti kusali si kumhurumia anayeliwa bali kushukuru kwa kupata kitoweo...
 
Kwa jinsi dunia inavyochukulia suala la 'money laundering' sidhani kama fedha hizo zinzotajwa zingeingia bila kugundulika na wahusika kukamatwa mara moja! Hawa vijana wanasiasa wanawafanya Watanzania ni wa jana hawajui yanayoendelewa na wanaweza kuaminishwa watakacho wanasiasa. Mbaya zaidi hoja inajengwa kwa kuweka uafrika wetu kwamba wapinzani wanaandaa mazingira ya kuleta machafuko. Bahati mbaya historia inaonyesha kuwa machafuko mengi Afrika yanatokea kwa watawala kung'ang'ania madarakani hata pale wananchi wanapowakataa - Mh Kaguta Museveni aliwahi kusema haya siku zake za mwanzo kutawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…