​Mkuu, unaweza kutupatia ushahidi hapo kwenye red ili tujiridhishe wenyewe?
Duh kumbe fedha toka ughaibuni ndizo zinarusha chopper angani?
Pamoja na anti-money laundering measures zote hizo pesa zinaingiaje hapa nchini? Serikali si izi freeze kama kweli zinakuja kwa nia ya kuharibu mchakato wa katiba.
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!Sijui ni Wachagga wangapi walimpa Ushindi wa Kishindo SUGU na ZITTO.
Tatizo la Ku copy and Past hata wakati wa kufikiri ndo hili.
Mpanda wamechagua Chadema, Iringa mjini wamechagua Chadema Tarime wamechagua Chadema.
Wachagga ni moja ya makabila yaliyotawanyika sana lakini Population yao si kubwa.
CDM kingekuwa chama cha WASUKUMA na WANYAMWEZI ningetamani kuamini maneno na ndoto zenu.
Akianzisha Chama mchagga ni cha wachagga akianzisha Muislamu hata akiwa mchagga ni cha Waislamu.
Watu mna ukosefu wa vitamini ya mishipa ya fahamu na ubongo.
Mapambano ni hatua na hatua zenyewe tulikwisha anza siku nyingi, ndiyo maana kule Bungeni kuna viti vyenye SUPA GLUU wenyewe wakikaa hawanyenyuki kama kiti cha Mamvi na Capteni Komba na vingine vina MBIGILI wakikaa wenyewe wanasimama kama cha Ndungai.
Nani kaweka Gluu na Mbigili kwenye viti???? CHADEMA.
AFTER ALL...Jina zuri "Notradamme"
Hoja inafaa kwa malipo halali 7,000/= za Tanzania toka idara ya propaganda pale Lumumba.
Ongeza bidii hoja zako zaweza kufikia thamani ya Tsh 10,000 kila moja.
ni kweli.. tanzania sio kama kenya wala zimbabwe na ndio maana hawako tayari kufanya mabadiliko ya kuondoa CHAKULA MEZANI(CCM) NA KUWEKA KINYESI(CHADEMA)Yaani hivyo viguzo vyenu viwili mlivyobakiwa navyo ndo mnapiga kelele namna hii???!!!
Kama mna Nguvu kweli mngekaa kimyaaa huko angani akaavyo mwewe tayari kututia makuchani.
Hiyo mikelele yenu ya majukwaani ni dalili kwamba mmejaa hewa mwashuzi ovyo.
FEDHA na BUNDUKI za UWT na JWTZ ndo zinawafanya mjiamini kiasi hiki??
UWT mnawamwagia fedha JWTZ wamechoka mlo uko kwa mabrigedia tu wengine wamejaa viraka ni walala hoi kuliko mlalahoi wa kawaida.
Tanzania siyo Zimbabwe wala Kenya msijidanganye na msidanganye watu wengine.
Hatusambaratiki, hatutawanyiki wala hatusambazwi.
waje UWT,JWTZ wote kwa pamoja watashindwa mbaya ndembe.
CHADEMA,We are here to stay and get rid of CCM,democratically,no matter all the evil ways CCM have used and those that will use to try to cling on POWER.
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE
ni kweli.. tanzania sio kama kenya wala zimbabwe na ndio maana hawako tayari kufanya mabadiliko ya kuondoa CHAKULA MEZANI(CCM) NA KUWEKA KINYESI(CHADEMA)
Kinachonifurahisha ni ujinga mnaojidanganya na kutaka kudanganya watu ''ETI 2015 MANSHINDA UCHAGUZI''
chama cha ushindi haiwi kama chenu kwa namna yoyote.
you are very weak ideologically kwani hakuna mnachokisimamia kama chama
you are very disorganized kwa sababu hamfanyi siasa endelevu bali mnategemea matukio
you are very selfish kwani hamsimami maslahi ya nchi bali ya kichaga
Instead of uniting, you are trying to destroying national unit
mnatumiwa na mabeberu toka nje ya nchi kwa maslahi ambayo hamjayaweka wazi.
KUOTA NDOTO sio dhambi ila ndoto yenu ya alinacha mnayoiota mchana itawa cost vibaya kwa sababu 2015 mtashindwa vibaya na mkileta FYOKO tutawachinja maana mnatakiwa mkumbuke by that time, raisi hatakuwa JK anayewadekeza. atakuwa either E.N.L au B.M.
Nadhani hawa wote mnawajua kuwa hawana simile wala hawacheki na nyani kama anavyowafanyia JK.
KWA ATAKAYELETA FYOKO BAADA YA KUSHINDWA ATAPOTEZWAAAAAAAAAAA.
STAY TUNED
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE
Nape kuropokwa ndiyo fani yake