Yaani hivyo viguzo vyenu viwili mlivyobakiwa navyo ndo mnapiga kelele namna hii???!!!
Kama mna Nguvu kweli mngekaa kimyaaa huko angani akaavyo mwewe tayari kututia makuchani.
Hiyo mikelele yenu ya majukwaani ni dalili kwamba mmejaa hewa mwashuzi ovyo.
FEDHA na BUNDUKI za UWT na JWTZ ndo zinawafanya mjiamini kiasi hiki??
UWT mnawamwagia fedha JWTZ wamechoka mlo uko kwa mabrigedia tu wengine wamejaa viraka ni walala hoi kuliko mlalahoi wa kawaida.
Tanzania siyo Zimbabwe wala Kenya msijidanganye na msidanganye watu wengine.
Hatusambaratiki, hatutawanyiki wala hatusambazwi.
waje UWT,JWTZ wote kwa pamoja watashindwa mbaya ndembe.
CHADEMA,We are here to stay and get rid of CCM,democratically,no matter all the evil ways CCM have used and those that will use to try to cling on POWER.