Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

​Mkuu, unaweza kutupatia ushahidi hapo kwenye red ili tujiridhishe wenyewe?

Naweza kabisa mkuu, tofauti na kina Ritz, mimi naweza kutibitisha naomba nifanye hivyo kama ifuatavyo;

NAPE NNAUYE
SEX M
DIV
IV
29
KISW D
HIST D
GEOG D
ENG F
B/MATH F
BIOL D
CHEM D
PHY D
CIV F
-----------------------
 
Last edited by a moderator:
Duh kumbe fedha toka ughaibuni ndizo zinarusha chopper angani?

Pamoja na anti-money laundering measures zote hizo pesa zinaingiaje hapa nchini? Serikali si izi freeze kama kweli zinakuja kwa nia ya kuharibu mchakato wa katiba.

NAPE anaelezea jinsi serikali yake ilivyoshindwa kufanya kazi kuanzia kwenye sembe sasa Money Laundering. Mpaka 2015 Tanzania itakuwa among Blacklisted countries.
 
Ndio tatizo la chama kuongozwa na wajinga, ccm siku hizi wananunua uongozi ndio maana watu wenye akili hawana nafasi lakini watu wajinga kama huyu nape anapata nafasi, hata vyombo vya habari vya Tanzania navyo vinaandikaje uharo huu????? kama Nape anakili kwamba Chadema wanapewa pesa na waungu aseme zmepitia wapi au anakili kwamba serikali ya ccm ni dhaifu ndio maana pesa zinaingia nchini bila wao kujua.awataje haoa wazungu tuwajue ni wakina nani?
 
Sijui ni Wachagga wangapi walimpa Ushindi wa Kishindo SUGU na ZITTO.
Tatizo la Ku copy and Past hata wakati wa kufikiri ndo hili.
Mpanda wamechagua Chadema, Iringa mjini wamechagua Chadema Tarime wamechagua Chadema.
Wachagga ni moja ya makabila yaliyotawanyika sana lakini Population yao si kubwa.
CDM kingekuwa chama cha WASUKUMA na WANYAMWEZI ningetamani kuamini maneno na ndoto zenu.
Akianzisha Chama mchagga ni cha wachagga akianzisha Muislamu hata akiwa mchagga ni cha Waislamu.
Watu mna ukosefu wa vitamini ya mishipa ya fahamu na ubongo.
Mapambano ni hatua na hatua zenyewe tulikwisha anza siku nyingi, ndiyo maana kule Bungeni kuna viti vyenye SUPA GLUU wenyewe wakikaa hawanyenyuki kama kiti cha Mamvi na Capteni Komba na vingine vina MBIGILI wakikaa wenyewe wanasimama kama cha Ndungai.

Nani kaweka Gluu na Mbigili kwenye viti???? CHADEMA.
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE
 
Siku hizi kwenye mikutano ya hadhara ccm huwa wanatoa nafasi ya wananchi kuwauliza maswali ya hapo kwa papo?

 
Jina zuri "Notradamme"
Hoja inafaa kwa malipo halali 7,000/= za Tanzania toka idara ya propaganda pale Lumumba.
Ongeza bidii hoja zako zaweza kufikia thamani ya Tsh 10,000 kila moja.
AFTER ALL...
WEWE NI BASIL LEMA.
no argument
 
Yaani hivyo viguzo vyenu viwili mlivyobakiwa navyo ndo mnapiga kelele namna hii???!!!
Kama mna Nguvu kweli mngekaa kimyaaa huko angani akaavyo mwewe tayari kututia makuchani.
Hiyo mikelele yenu ya majukwaani ni dalili kwamba mmejaa hewa mwashuzi ovyo.

FEDHA na BUNDUKI za UWT na JWTZ ndo zinawafanya mjiamini kiasi hiki??
UWT mnawamwagia fedha JWTZ wamechoka mlo uko kwa mabrigedia tu wengine wamejaa viraka ni walala hoi kuliko mlalahoi wa kawaida.
Tanzania siyo Zimbabwe wala Kenya msijidanganye na msidanganye watu wengine.
Hatusambaratiki, hatutawanyiki wala hatusambazwi.
waje UWT,JWTZ wote kwa pamoja watashindwa mbaya ndembe.

CHADEMA,We are here to stay and get rid of CCM,democratically,no matter all the evil ways CCM have used and those that will use to try to cling on POWER.
ni kweli.. tanzania sio kama kenya wala zimbabwe na ndio maana hawako tayari kufanya mabadiliko ya kuondoa CHAKULA MEZANI(CCM) NA KUWEKA KINYESI(CHADEMA)
Kinachonifurahisha ni ujinga mnaojidanganya na kutaka kudanganya watu ''ETI 2015 MANSHINDA UCHAGUZI''
chama cha ushindi haiwi kama chenu kwa namna yoyote.
you are very weak ideologically kwani hakuna mnachokisimamia kama chama
you are very disorganized kwa sababu hamfanyi siasa endelevu bali mnategemea matukio
you are very selfish kwani hamsimami maslahi ya nchi bali ya kichaga
Instead of uniting, you are trying to destroying national unit
mnatumiwa na mabeberu toka nje ya nchi kwa maslahi ambayo hamjayaweka wazi.
KUOTA NDOTO sio dhambi ila ndoto yenu ya alinacha mnayoiota mchana itawa cost vibaya kwa sababu 2015 mtashindwa vibaya na mkileta FYOKO tutawachinja maana mnatakiwa mkumbuke by that time, raisi hatakuwa JK anayewadekeza. atakuwa either E.N.L au B.M.
Nadhani hawa wote mnawajua kuwa hawana simile wala hawacheki na nyani kama anavyowafanyia JK.
KWA ATAKAYELETA FYOKO BAADA YA KUSHINDWA ATAPOTEZWAAAAAAAAAAA.
STAY TUNED
 
Ni mdomo kaika kichwa kisichokuwa na ubongo. Wewe ndio chama tawala ukiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama halafu wazungu waingize fedha za kuvuruga nchi badala ya kuchukuwa hatua za kisheria unaenda jukwaani kuwaambia wananchi ili wafanye nini kama sio uzuzu? Hao chadema ndio waanzilishi wa vuguvugu la kudai katiba mpya itakuwaje wao tena ndio wavuruge?
 
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE

Hapa kwenye nyekundu: Hutataka kueleza hayo MAKOSA ya CCM!! Uhayawani wa wizi wa raslimali, Upendeleo kwa wauza UNGA aka sembe ya kisasa ugali wa vijana wa CCM.
Hutataka kufafanua kwa sababu ubongo wako umelambwa na ndovu wa kinana!! aka Abdultembo kindovu Katibu mkuu wa chama cha wezi wa nyara za serikali na wauza sembe!!
 
Mbona hajawataja wa CUF na NCCR? au ndiyo ndoto kila mara anaota chadema? "Nape tafuta vwazazi wako kwanza" by Benson Kigaila
 
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE

Jenga hoja, usiwe unaishi kwa fikra za kushikishwa na kinywa kinachohubiri matusi na mipasho
 
Inaonekana Demokrasia imekuchefua sana kiasi cha kutaka kutapika hadi utumbo wako mwenyewe.
CCM ni chakula na CDM ni Kinyesi? Halafu unajidanganya kwamba una Ideology??
Wou!

ni kweli.. tanzania sio kama kenya wala zimbabwe na ndio maana hawako tayari kufanya mabadiliko ya kuondoa CHAKULA MEZANI(CCM) NA KUWEKA KINYESI(CHADEMA)
Kinachonifurahisha ni ujinga mnaojidanganya na kutaka kudanganya watu ''ETI 2015 MANSHINDA UCHAGUZI''
chama cha ushindi haiwi kama chenu kwa namna yoyote.
you are very weak ideologically kwani hakuna mnachokisimamia kama chama
you are very disorganized kwa sababu hamfanyi siasa endelevu bali mnategemea matukio
you are very selfish kwani hamsimami maslahi ya nchi bali ya kichaga
Instead of uniting, you are trying to destroying national unit
mnatumiwa na mabeberu toka nje ya nchi kwa maslahi ambayo hamjayaweka wazi.
KUOTA NDOTO sio dhambi ila ndoto yenu ya alinacha mnayoiota mchana itawa cost vibaya kwa sababu 2015 mtashindwa vibaya na mkileta FYOKO tutawachinja maana mnatakiwa mkumbuke by that time, raisi hatakuwa JK anayewadekeza. atakuwa either E.N.L au B.M.
Nadhani hawa wote mnawajua kuwa hawana simile wala hawacheki na nyani kama anavyowafanyia JK.
KWA ATAKAYELETA FYOKO BAADA YA KUSHINDWA ATAPOTEZWAAAAAAAAAAA.
STAY TUNED
 
ccm wamekuwa wakiuza nchi kila wanapopata fursa yakufanya hivyo. wameuza bank ya nbc kwa pesa zake yenyewe ilizokuwa imekopesha dcb, wameuza mgodi wa buzwagi hotelini usiku huko london pamoja na kuuza viwanda lukuki haswa vilivyokuwa vikiingiza faida kubwa hazina. mwenyekiti wao alijiuzia mgodi wa makaa ya mawe kwa kutumia anwani ya ikulu kama ofisi yake. je kati ya ccm na cdm nani kibaraka wa kuharibu?
 
HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE

ulitegemea wapate ubunge kwa makosa ya nani zaidi ya ccm? kila penye ushindani mshindi hupatikana kwa makosa ya mpinzani na hao akina sugu wapongezwe kwa kuwa waliweza kutumia makosa ya ccm. pole sana
 
Nape kuropokwa ndiyo fani yake

Ebu aeleze kwamba ni kitu gani kilimfanya akaanzisha CCJ akiwa CCM? Tena inasemekana alikuwa akiiba siri za CCM na kuzipeleka huko. Lakini pia aeleze ni kitu gani kilimrudisha nchini wakati alishasema angehama endapo JMK aneteuliwa kuwa rais? Nawashangaa sana wanaomsikiliza Nape. He has never spoken the truth. He is a traitor and he knows it.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
hakuna kiongozi wa ccm mropokaji kama Nape Nnauye.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kweli alipata muda wa kuyazungumza haya maana nilimuona kwenye TV anawamba ngoma huku akibusu nyoka na wanavijiji wenzake.
 
Mtu mwenye msimamo kama wa Notradame ni rahisi sana kutumiwa kama 'interahamwe'. I mean ni rahisi kuelekezwa ikiwemo na kupewa rungu, jambia ...chochote kiitwacho silaha ili aue kwa sababu za kisiasa, kidini ...very dangerous! Unfotunately these kind of people will never have such opportunity. Mabadiliko ya kuindoa ccm madarakani yatafanyika kwa amani.
 
Back
Top Bottom