Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Ni makosa au ni kaugonjwa kenu kanitwa UDHAIFU mkiona POCHI na maelekezo toka UWT??? Be truthful!!:becky:
Ubungo hadi Mbeya katatizo ni hakohako??
Hujui katawamaliza hivi punde??
Lakini hata hivyo umeshindwa mbaya ndembe kutetea hoja yako ya uchagga, badala yake unakiri kwamba CCM ni dhaifu kila kona ya nchi. Hiiiii Hiiii hiiii:becky:

 
Notradamme you are the HIRED DECEIVER I said before.
They told you how to lie but they didnt tell you how to defend your lies.
umelikologa ni lazima ulinywe.
 
Nape wewe nae fisadi tu,wewe ndiye uliyesemaga jk akipata urais unahama nchi,kisa hukuwa kundi moja na jk,hatimaye Jk akawa rais,mwisho wa siku ulirudi kichwa chini,ukamwambia Jk nisamehe Mimi ni Mropokaji,ndipo ukapewa ukuu wa wilaya kusini huko,Leo hii unajidai Yale maovu ya mtandao wa Jk huyajui,mwisho wenu 2015
 
Heri wao wamepewa nyie mnaotuibia je?nape akachambe domo lake vinginevyo litachafua wengi maana ana pu kwa domo
 
Hiiii Hii hiiiii :becky: We Lemutuz hata usiongezee neno.

Umezaliwa na kulelewa kwenye fukuto la Thermos hata hujui Zali ya maisha ikoje.
Bure unaijua wewe bwana kwani siri hiyo??

Vitofi wenzio watoto wa kulelewa ndani thermos kama wewe waanishi kwa matanuz makubwa na kazi hawafanyi mitaa ya DMV na California hapa USA acha huko UK,mbona huulizi Pochi wanatoa wapi??


 
Huu ni upuuzi miongoni mwa upuuzi wa vijana wa chadema.,argument zenu zote ni juu ya watu badala ya issues...umburura unawasumbua.
 

Nyege zikiwa juu ni tatizo ikiwa zitakosa mtulizaji.
 
Siishangai kauri ya NAPE, ila nashangaa muda alioitoa hii kauri na sehemu alipokuwa. Kwani sio kila kauri hutoka moyoni na ikiwa imefanyiwa utafiti wa kutosha, nyingine hutoka tu mdomoni na hasa kipindi unajiandaa kupiga chafya.
 
Acha kukimbilai kwenye tope jibu hoja.

Pochi wanatoa wapi? Nao wanapewa na wazungu wa kirebalali??

Huu ni upuuzi miongoni mwa upuuzi wa vijana wa chadema.,argument zenu zote ni juu ya watu badala ya issues...umburura unawasumbua.
 
Chadema juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.ccm mnazingua ndo maana wanachi hawawakubal matokeo yake mwadha 2nanunuliwa.hamkubalik ngooooooooo
 
Chadema juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.ccm mnazingua ndo maana wanachi hawawakubal matokeo yake mwadha 2nanunuliwa.hamkubalik ngooooooooo
 
Juzi CHADEMA walipolalamika kuhusu baloz wa China yeye akapga porojo zake paleee af Wizara ya Mambo ya Nje wakasema balozi wa China amekiuka mkataba, kwahyo mwambieni aendeleee kuwakusanya wale wa KIJANI na NJANO kwenye mikutano yao.
 
Hao wananchi wenyewe waliokua wanajazwa hayo maneno si ajabu hawaelewi hata maana ya katiba!

Nape n muenezi wa sera za ccm isitarajiwe hata siku moja kwamba atakubaliana na upinzani ata kama wanafanya kitu cha manufaa ya taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…