Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Ni makosa au ni kaugonjwa kenu kanitwa UDHAIFU mkiona POCHI na maelekezo toka UWT??? Be truthful!!:becky:
Ubungo hadi Mbeya katatizo ni hakohako??
Hujui katawamaliza hivi punde??
Lakini hata hivyo umeshindwa mbaya ndembe kutetea hoja yako ya uchagga, badala yake unakiri kwamba CCM ni dhaifu kila kona ya nchi. Hiiiii Hiiii hiiii:becky:

HUJUI UNACHOKIONGEA WEWE!!
labda nikupe ukweli ambao wewe na wenzako mnaujua lakini hamtaki kuukubali.
SUGU ni mvuta bangi aliyepata ubunge kwa makosa ya CCM wenyewe, yule aliyekuwa anatakiwa na wapiga kura(nadhani wote tunamjua) alinyimwa nafasi ya kugombea na kilichotokea ni wananchi kupiga kura za hasira didi ya ccm.
MSIGWA nae ndio walewale.. kapata ubunge kwa makosa ya ccm ya kutompitisha MWAKALEBELA na hivyo wananchi kupiga kura za hasira dhidi ya ccm.
MNYIKA naye anaangukia kundi hilohilo. nadhani unajua wananchi wa jimbo la ubungo walikuwa wanamtaka nani na ccm wakamuweka mgombea tofauti na matakwa ya wananchi. matokeo yake ndio ushindi wa mnyika.
ZITTO KABWE... this is another story. huyu ni mwanasiasa tofauti na wote wa chadema na utakuwa unamdhalilisha sana unapomuweka kundi moja na mzee wa NDUMU SUGU. ZZK hata akigombea kama mgombea binafsi bila kukpitia chama chochote anweza kushinda katika jimbo lolote ndani ya tanzania. no wonder he doesn't fit in your CHAGA SYSTEM.
Kama unataka kumjua ZZK, muulize baba yako wa kufikia FREEMAN MBOWE
 
Notradamme you are the HIRED DECEIVER I said before.
They told you how to lie but they didnt tell you how to defend your lies.
umelikologa ni lazima ulinywe.
 
Nape wewe nae fisadi tu,wewe ndiye uliyesemaga jk akipata urais unahama nchi,kisa hukuwa kundi moja na jk,hatimaye Jk akawa rais,mwisho wa siku ulirudi kichwa chini,ukamwambia Jk nisamehe Mimi ni Mropokaji,ndipo ukapewa ukuu wa wilaya kusini huko,Leo hii unajidai Yale maovu ya mtandao wa Jk huyajui,mwisho wenu 2015
 
Heri wao wamepewa nyie mnaotuibia je?nape akachambe domo lake vinginevyo litachafua wengi maana ana pu kwa domo
 
Hiiii Hii hiiiii :becky: We Lemutuz hata usiongezee neno.

Umezaliwa na kulelewa kwenye fukuto la Thermos hata hujui Zali ya maisha ikoje.
Bure unaijua wewe bwana kwani siri hiyo??

Vitofi wenzio watoto wa kulelewa ndani thermos kama wewe waanishi kwa matanuz makubwa na kazi hawafanyi mitaa ya DMV na California hapa USA acha huko UK,mbona huulizi Pochi wanatoa wapi??


- Sasa nimeelewa kumbe ndio yamekuwa haya, I mean haingii akilini na mafuta wanayochoma na helikopta mahali ambapo magari yanafika kwa urahisi lazima ni mapesa mengi waliyonayo, hapa mjini wamenunua watu wengi sana tusiokubali kununliwa tunakuwa wauza unga na mashoga, hawa jamaa bwana sometimes huwa wananichekesha sana how they operate maana inajisema yenyewe kwamba wana mapesa ya bure huwezi kwenda na helikopta kuhutubia tu wananchi bila uchaguzi something is not very right na matumizi yao ya mapesa!!, Wanayatoa wapi?

Le Mutuz
 
Hiiii Hii hiiiii :becky: We Lemutuz hata usiongezee neno.

Umezaliwa na kulelewa kwenye fukuto la Thermos hata hujui Zali ya maisha ikoje.
Bure unaijua wewe bwana kwani siri hiyo??

Vitofi wenzio watoto wa kulelewa ndani thermos kama wewe waanishi kwa matanuz makubwa na kazi hawafanyi mitaa ya DMV na California hapa USA acha huko UK,mbona huulizi Pochi wanatoa wapi??
Huu ni upuuzi miongoni mwa upuuzi wa vijana wa chadema.,argument zenu zote ni juu ya watu badala ya issues...umburura unawasumbua.
 
Jibu hoja ndugu.mbona unarukaruka kama umekalia sindano????
Huu ni mkakati mpya kuelekea 2015. Kuwabomoa hadi mbaki vumbi.
Na cha msingi ni kwamba ccm wanawajua zaidi watz na nyie mnawajua zaidi wachaga ambao ni miongoni mwa watanzania.
Kufikia 2015, mtakuwa dhaifuuuuuu na baada ya uchaguzi, chadema itakuwa historia.
Vipi mbona hamuongelei matokeo ya chaguzi za vijiji na serikali za mitaa hivi juzi??? Nina hakika mngepata japo 6% ya kura mngepiga filimbi mpaka pasingekalika.
Statistically, mmeshapigika na mikakati yenu ya nchi kutotawalika ime-fail vibaya sana na zaidi imewaweka uchi mbele ya jamii na kutoaminika tena

Nyege zikiwa juu ni tatizo ikiwa zitakosa mtulizaji.
 
Siishangai kauri ya NAPE, ila nashangaa muda alioitoa hii kauri na sehemu alipokuwa. Kwani sio kila kauri hutoka moyoni na ikiwa imefanyiwa utafiti wa kutosha, nyingine hutoka tu mdomoni na hasa kipindi unajiandaa kupiga chafya.
 
Acha kukimbilai kwenye tope jibu hoja.

Pochi wanatoa wapi? Nao wanapewa na wazungu wa kirebalali??

Huu ni upuuzi miongoni mwa upuuzi wa vijana wa chadema.,argument zenu zote ni juu ya watu badala ya issues...umburura unawasumbua.
 
Chadema juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.ccm mnazingua ndo maana wanachi hawawakubal matokeo yake mwadha 2nanunuliwa.hamkubalik ngooooooooo
 
Chadema juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.ccm mnazingua ndo maana wanachi hawawakubal matokeo yake mwadha 2nanunuliwa.hamkubalik ngooooooooo
 
Juzi CHADEMA walipolalamika kuhusu baloz wa China yeye akapga porojo zake paleee af Wizara ya Mambo ya Nje wakasema balozi wa China amekiuka mkataba, kwahyo mwambieni aendeleee kuwakusanya wale wa KIJANI na NJANO kwenye mikutano yao.
 
Hao wananchi wenyewe waliokua wanajazwa hayo maneno si ajabu hawaelewi hata maana ya katiba!

Nape n muenezi wa sera za ccm isitarajiwe hata siku moja kwamba atakubaliana na upinzani ata kama wanafanya kitu cha manufaa ya taifa
 
Back
Top Bottom