Nape effect: Kosa la Nape ni kuzungumza ukweli kuhusu chaguzi za Tanzania. Hajawakosea wananchi, amewakosea wenye mamlaka

Sasa moja ya hatua hizo ambazo mamlaka imechukua ni kumvua uwaziri wake. we ulitaka ichukue hatua gani?
 
Hakuna rais anayedanganywa kama Samia, hata waliomshauri awatimue wakurugenzi wa makampuni jana wamemdanganya tena. Tatizo kubwa la Nape ni kusema ukweli mchungu kwa viongozi wa CCM.
Unaonesha una akili nyingi sana lakini za kushikwa.

Ukimwaga mboga watu wanamwaga ugali.
 
Ametukejeli wananchi kwamba nyie sio wafanya maamuzi huo muda mnaojisumbua kusimama na kupanga foleni kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na kushiriki zoezi la kupiga kura NI KAZI BURE
 
Nape alitukanwa, akaandamwa na pengine ikawa sababu ya kupoteza Uwaziri lakini kwa kinachoendelea kwa sasa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa; Nape alikuwa sahihi kabisa.

Amekosa Uwaziri lakini kauli yake ya ukweli imemsogeza karibu na Muumba.
 
Nape alitukanwa,akaandamwa na pengine ikawa sababu ya kupoteza U waziri lakini kwa kinachoendelea kwa sasa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa;Nape alikuwa sahihi kabisa.

Amekosa U waziri lakini kauli yake ya ukweli imemsogeza karibu na Muumba.
Kwani yupo wapi atupe neno tafadhali.
 
Ccm wanaamini nchi n ya kwao peke yao ....lets wait for Armageddon..
 
Kusema ukweli hakumsafishi dhidi ya maovu yake aliyotenda, na wala hayamtenganishi na wadhalimu wenzake, Once a snake, always a snake.
 
Nape amepoa sana.
Utadhani sio nape yule tumjuaye.
 
Fedheha
 

Attachments

  • b3a34e7e631270a9e73fdd13db687369.mp4
    3.6 MB
  • watermark-51a3cc01acd06eefe8d1d23a20c76918_0.jpeg
    516.2 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…