Elections 2015 Nape: Fisadi akipitishwa na CCM nitaongoza kundi la vijana kumpinga

Elections 2015 Nape: Fisadi akipitishwa na CCM nitaongoza kundi la vijana kumpinga

Lowasa akiwa Rais Nape utahama hii nchi maana sijui atakufanya nini huyo mkuu.
 
Akiongea leo jijini Mwanza, katibu wa itikadi na uenezi wa kamati kuu ya CCM ndugu Nape Nnauye amesema kuwa hana msalie mtume na wanaotumia fedha kununua uongozi.

Aidha Nape Nnauye ameweka wazi kuwa endapo CCM itampitisha fisadi kuwania uongozi wa juu kwa tiketi ya chama hicho basi ataongoza kundi la vijana kumpinga.

Nape ametahadharisha kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi ili kuwaaminisha wana-CCM kuwa anakubalika hana nafasi kamwe. Nape ameonya kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi akishaupata ataanza kurudisha gharama alizotumia kwanza!

..................... Mafisadi hawana nafasi katika nchi hii watanzania wameshaamka
 
Narudia tena, woooonote hawa ni pombe ileile tofauti ni chupa tu!
 
Sasa kwanini CCM ilitoa fomu kwa "fisadi?"

Maandiko matakatifu yanasema hivi!

"Mtu azuiaye kinywa kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu."

Nape, play smart.
 
Nape, hizo siasa tu! Tusi danganyane. Atakayepishwa ataungwa mkono na kila mwana ccm.
 
Hivi sisiyemu hawajui kuwa kufanya ufisadi ni kosa kisheria?
 
G Sam


Hivi kama hawa ccm wamegundua kuwa mtu ananunua uongozi/anatumia pesa kutafuta uongozi, takukuru wako wapi kwann wasimfikishe mahakaman sio kupiga makelele

Hii ni sawa na kutoanga maji kwenye kinu!...... By the way kumbe ccm mnajijua kuwa mnamafisadi kwenye chama chenu, kwanini msiwachukulie hatua, pia nyie si ndo serikali, so makali ya serikali yapo wapi..?

P..b.v. saana mnabaki kupiga makelele tu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: DSN
Ukiwasikiliza kina Nape na Kinana bila ushabiki utagundua turufu ya ccm ni kweli ni Makongoro Nyerere
 
  • Thanks
Reactions: DSN
asiyejua kuwa Nape ni team MTAMA nani? anyooshe mkono juu.
Akiongea leo jijini Mwanza, katibu wa itikadi na uenezi wa kamati kuu ya CCM ndugu Nape Nnauye amesema kuwa hana msalie mtume na wanaotumia fedha kununua uongozi.

Aidha Nape Nnauye ameweka wazi kuwa endapo CCM itampitisha fisadi kuwania uongozi wa juu kwa tiketi ya chama hicho basi ataongoza kundi la vijana kumpinga.

Nape ametahadharisha kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi ili kuwaaminisha wana-CCM kuwa anakubalika hana nafasi kamwe. Nape ameonya kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi akishaupata ataanza kurudisha gharama alizotumia kwanza!
 
tushachoka na ahadi zake ambazo uishia miguuni pake, yako wapi matamko ya siku 90 za mafisadi kuvuaagamba,?
 
Hivi kama hawa ccm wamegundua kuwa mtu ananunua uongozi/anatumia pesa kutafuta uongozi, takukuru wako wapi kwann wasimfikishe mahakaman sio kupiga makelele
.....hii ni sawa na kutoanga maji kwenye kinu!...... By the way kumbe ccm mnajijua kuwa mnamafisadi kwenye chama chenu, kwanini msiwachukulie hatua, pia nyie si ndo serikali, so makali ya serikali yapo wapi..?
P..b.v. saana mnabaki kupiga makelele tu

CCM wote mafisadi tu, wasitudanganye kama wanajua yeye ni mwiz na mtoa rushwa mbona hawamshughulikii ukizingatia wao ndo wako madarakan
 
Big Up Nape! Sema usiogope sema! Chama Cha Mapinduzi kuwakilishwa na fisadi, ni kukifedhehesha Chama!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Back
Top Bottom