Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wako jk siyo mpuuzi kama wewe kama mnakula hizo za mafisadi mle za mwisho.
Sasa kwanini CCM ilitoa fomu kwa "fisadi?"
Maandiko matakatifu yanasema hivi!
"Mtu azuiaye kinywa kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu."
Nape, play smart.
Sasa kwanini CCM ilitoa fomu kwa "fisadi?"
Maandiko matakatifu yanasema hivi!
"Mtu azuiaye kinywa kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu."
Nape, play smart.
Huyu pimbi tako linachemka anaangalia mbele anaona giza na nyuma historia ya domo lake inamsuta kumtukana lowassa na ni dhahiri sasa Lowassa anakwenda kuteuliwa na ccm nape chupi inabana na tumbo lakoAkiongea leo jijini Mwanza, katibu wa itikadi na uenezi wa kamati kuu ya CCM ndugu Nape Nnauye amesema kuwa hana msalie mtume na wanaotumia fedha kununua uongozi.
Aidha Nape Nnauye ameweka wazi kuwa endapo CCM itampitisha fisadi kuwania uongozi wa juu kwa tiketi ya chama hicho basi ataongoza kundi la vijana kumpinga.
Nape ametahadharisha kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi ili kuwaaminisha wana-CCM kuwa anakubalika hana nafasi kamwe. Nape ameonya kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi akishaupata ataanza kurudisha gharama alizotumia kwanza!
juzi usiku nimemwona makongoro mitaa ya ufipa,sijui anataka kukimbia ccm!!halafu tabia yake ya kupiga misele na lile vx la east africa aache,yani mateja ya pale american chips kinondoni ndio washikaji zake...