Nape hafai kuwa Waziri wa Habari, kule X/Twitter hataki kukosolewa

Nape hafai kuwa Waziri wa Habari, kule X/Twitter hataki kukosolewa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nape hana sifa kabisa za kuwa waziri wa Habari ni basi tu Taifa limejaaa kubebena tu, Nape ni mtu asio taka kukusolewa kabisa kwa aina yoyote ile, Huyu ni waziri w a habari wa Tanzania.

Yaani kule X ni bora hata umkosoe Raisi ila sio Nape ambaye ni waziri wa Habari yeye hana uvumilivu kilinapo kuja swala la kukosolewa.

Kuna watu wanasema ile ni account yake binafisi, hata kama ni binaisi ila yeye ni Waziri wa Habari, huwezi kumtenganisha na uwaziri so vyote anavyo fanya lazime vipimwe hapo kwenye Uwaziri wake.

Kwa sababu hataki kukoselewa ndio maana sasa hadi hizi Station za TV na Radio zimekuwa zikipokea.maelekezo yake ya nini zireport na nin wasireport.

Huwezi ukawa waziri wa Habari huku wewe mwenyewe huyaki mawazo kinzani, unataka mawazo yote yafanane watu wote wawaze sawa na unavyo waza.
 
Kwa CHADEMA kukosoa ina maana ya kutukana. Labda ungesema Nape hataki kutukanwa huko Twitter
 
Imagine hii comment yako ndo ukosoaji mnaomlalamikia Nape... 🤔🤔 watendeeni mnavyopenda kutendewa nyie. Wewe utakubali kutukanwa huku aliyekutukana akidai anakukosoa?
Wewe ndo umetafsiri kwa muono wako. Tena kumbe umedhamiria kumpa wajihi ambao si wake kumbe🤣

Sijamtaja mtu😄😄😄
 
Nape Nnauye ni aina ya mhuni ambaye abawakilisha wahuni wengi wa kisiasa waliojaa huko CCM.

Ni mtu wa kariba ya ula rushwa na siasa za kimagenge.

Ni mla rushwa aliyewekwa kwenye kundi la kupokea Rushwa toka mashirika ya mitandao ya Simu kama vile TIGO, AIRTEL,VODACOM, HALOTEL NK.

Huko ndiko anakotoa kiburi chake.
 
Nape hana sifa kabisa za kuwa waziri wa Habari ni basi tu Taifa limejaaa kubebena tu, Nape ni mtu asio taka kukusolewa kabisa kwa aina yoyote ile, Huyu ni waziri w a habari wa Tanzania.

Yaani kule X ni bora hata umkosoe Raisi ila sio Nape ambaye ni waziri wa Habari yeye hana uvumilivu kilinapo kuja swala la kukosolewa.

Kuna watu wanasema ile ni account yake binafisi, hata kama ni binaisi ila yeye ni Waziri wa Habari, huwezi kumtenganisha na uwaziri so vyote anavyo fanya lazime vipimwe hapo kwenye Uwaziri wake.

Kwa sababu hataki kukoselewa ndio maana sasa hadi hizi Station za TV na Radio zimekuwa zikipokea.maelekezo yake ya nini zireport na nin wasireport.

Huwezi ukawa waziri wa Habari huku wewe mwenyewe huyaki mawazo kinzani, unataka mawazo yote yafanane watu wote wawaze sawa na unavyo waza.
Mkuu ukurasa ni wake dawa kumuachia kama hataki mumkosoe!
 
Nape hana sifa kabisa za kuwa waziri wa Habari ni basi tu Taifa limejaaa kubebena tu, Nape ni mtu asio taka kukusolewa kabisa kwa aina yoyote ile, Huyu ni waziri w a habari wa Tanzania.

Yaani kule X ni bora hata umkosoe Raisi ila sio Nape ambaye ni waziri wa Habari yeye hana uvumilivu kilinapo kuja swala la kukosolewa.

Kuna watu wanasema ile ni account yake binafisi, hata kama ni binaisi ila yeye ni Waziri wa Habari, huwezi kumtenganisha na uwaziri so vyote anavyo fanya lazime vipimwe hapo kwenye Uwaziri wake.

Kwa sababu hataki kukoselewa ndio maana sasa hadi hizi Station za TV na Radio zimekuwa zikipokea.maelekezo yake ya nini zireport na nin wasireport.

Huwezi ukawa waziri wa Habari huku wewe mwenyewe huyaki mawazo kinzani, unataka mawazo yote yafanane watu wote wawaze sawa na unavyo waza.
Yaan kule X akitoa hbr anafunga replies kwa kufuli la veron solid 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukiwa waziri kamili unaingia katika baraza la mawaziri na hiyo ndiyo serikali yenyewe.Wewe ni mtu mkubwa katika serikali na nakuomba achana kujibu kila kitu Tweeter.
Kuna mengi sana unaweza kufanya.
 
Back
Top Bottom