Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
uwaziri wa shithole countries ni kama zawadi tu. "chakupewa". sasa mtu kama Nape anaweza kusaidia nini taifa.
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Waziri bwege kama huyo, angelikuwa na hekima na busara na utulivu angekuwa na thamani kubwa sana tatizo kalelewa na Mama sana na anatoka matrilineal society watoto mali ya wamamaUkiwa waziri kamili unaingia katika baraza la mawaziri na hiyo ndiyo serikali yenyewe.Wewe ni mtu mkubwa katika serikali na nakuomba achana kujibu kila kitu Tweeter.
Kuna mengi sana unaweza kufanya.
Labda ni wa waziri wa Jamhuri ya X...Ukiwa waziri kamili unaingia katika baraza la mawaziri na hiyo ndiyo serikali yenyewe.Wewe ni mtu mkubwa katika serikali na nakuomba achana kujibu kila kitu Tweeter.
Kuna mengi sana unaweza kufanya.
Ukiwa waziri kamili unaingia katika baraza la mawaziri na hiyo ndiyo serikali yenyewe.Wewe ni mtu mkubwa katika serikali na nakuomba achana kujibu kila kitu Tweeter.
Kuna mengi sana unaweza kufanya.
Hawa watu tumewapa kazi ya kumsaidia Mama. Tafadhali sana tunaomba wamsaidie Mama😂😂😂 waziri anashindwa twitter nchi ya ajabu hii
Kwa kushinda twitter ndio kumsaidia?Hawa watu tumewapa kazi ya kumsaidia Mama. Tafadhali sana tunaomba wamsaidie Mama
Rudia tena kusoma kilichoandikwaKwa kushinda twitter ndio kumsaidia?