olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 418
- 866
Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.
Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.
Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.
Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.
Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.
Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.