Nape hastahili kusimama kukemea tabia za kutukana watu

Nape hastahili kusimama kukemea tabia za kutukana watu

Mifumo ya kisheria ikisimama na watu wakawa seriously hakuna atakaye bakia mitaani wengi tutakuwa watuhumiwa wa makosa mbalimbali.
 
Thibitisha huo wizi,la sivyo kumuita mtu Fulani mwizi pasipo kuthibitisha uizi wake nayo pia ni JINAI.
Ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi, ukikuta matokeo ya uchaguzi 2020 ulete mrejesho.
 
Nape anajulikan toka mda mrefu ni mchumia Tumbo,

Kibaya zaidi ni Asidic Wembe !
 
Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.

Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.

Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.

Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
Vyeo vya kupeana tu kwani Nape ana nini cha ziada kichwani, si fadhila tu eti ni mtoto wa mzee Nnauye
 
Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.

Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.

Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.

Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
Muacheni Mh. Nape jamani, mbona yeye hajawahi tukana mtu?
 
Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.

Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.

Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.

Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
Kumuita mtu mshamba nalo ni tusi?
 
Si kila mtoto wa kiongozi Ana Sifa za kuwa Viongozi, Ndo maana kila siku tunaona vituko
 
Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.

Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.

Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.

Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.

Na wewe acha uchawa wako Lissu maemtukana Samia kwa maneno gani? Acheni kuleta uchawa menu kwenye mambo serious ya nchi. SamiaIkasaini mkataba wenye hasara kwa nchi , mnataka asifiwe kama nyie mnavyomsifia kutokana na unafiki wenu?
Magufuli alimuweka kando Nape kwasababu ya utovu wa maadili na Samia alikuwepo kama Vice President; lakini alipoukwaa Urais akadharau uamuzi wa busara wa Magufuli na kumkumbatia Nape ambae amewahi kuwatukana viongozi wa rika ya baba yake kwenye hadhara ya watu. Hana moral authority ya kusimama na kuzungumzia juu ya maadili mema.
 
Back
Top Bottom