Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kichaka cha "THIBITISHA"!Thibitisha huo wizi,la sivyo kumuita mtu Fulani mwizi pasipo kuthibitisha uizi wake nayo pia ni JINAI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichaka cha "THIBITISHA"!Thibitisha huo wizi,la sivyo kumuita mtu Fulani mwizi pasipo kuthibitisha uizi wake nayo pia ni JINAI.
Na hivyo basi,tuishi kwa kustahamiliana na busara.Hakimu asipokuwa na busara na kushikilia sheria ipo siku atajikuta anaishi yeye na paka wake tu.Mifumo ya kisheria ikisimama na watu wakawa seriously hakuna atakaye bakia mitaani wengi tutakuwa watuhumiwa wa makosa mbalimbali.
Ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi, ukikuta matokeo ya uchaguzi 2020 ulete mrejesho.Thibitisha huo wizi,la sivyo kumuita mtu Fulani mwizi pasipo kuthibitisha uizi wake nayo pia ni JINAI.
mtu aliyeandika maneno kama haya hawez kusimama leo kukemea matusiStahaa👇🤡🤡🤡View attachment 2692605
Vyeo vya kupeana tu kwani Nape ana nini cha ziada kichwani, si fadhila tu eti ni mtoto wa mzee NnauyeNimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.
Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.
Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.
Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
Umemaliza kila kitu , hii kujiweka front ndo inamkost NapeNape , alitakiwa au silent sana ,asiwe front kwenye haya mambo
Muacheni Mh. Nape jamani, mbona yeye hajawahi tukana mtu?Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.
Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.
Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.
Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
Alipata kura ngapi? Usiponipa idadi nawe nitakuunganisha naye.Thibitisha huo wizi,la sivyo kumuita mtu Fulani mwizi pasipo kuthibitisha uizi wake nayo pia ni JINAI.
Kumuita mtu mshamba nalo ni tusi?Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.
Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.
Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.
Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa TZ hii under 50 ni kijana, Nape mwenyewe anajipambanua kama kijana , sina shida hata angejiita todler
Wanaomuelewa Nape na au wanamuunga mkono wanatakiwa kwenda kupimwa akili.shida ya vijana wenye ubongo mgando , hamuelewi
Wanaomuelewa Nape na au wanamuunga mkono wanatakiwa kwenda kupimwa akili.shida ya vijana wenye ubongo mgando , hamuelewi
Nimewaza sana maneno ya Nape leo ya kumshambulia Lissu kuwa amemtukana Rais Samia.
Yes , ni kweli ametumia maneno mabaya sana kwa Rais , lakini of all people Nape huwezi kusimama kukemea tabia za kutukana watu.
Wewe ulimtukana Edward Lowassa kuwa ni Oil Chafu, mara mgonjwa, wewe huyu huyu uliwahi kurekediwa ukimtukana Rais aliyepita Hayati Magufuli kuwa ni Mshamba na maneno mengi ya kihaini, huwezi leo kusimama na kujipa uadilifu wa kukemea wengine , ungemuacha Naibu wako Eng Kundo aje akemee uchafu wa matusi ya Lissu lakini sio wewe.
Nakuheshimu sana kama moja ya viongozi vijana wazuri lakini unashida kwenye maadili, kausha kuni kabisa usiongee tena.