Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

Umekosa majibu unaleta vihoja.

Kwanza ungekuwa umeelimika, hiyo kasoro ya kiuandishi wala isingekuwa issue kubwa kwako bali issue ingekuwa ni hayo maneno ya Nape.

Ni wazi elimu yako haijakusaidia kabisa!
Nape kasema alivyosema na nimeelewa lakini nami nipo katika kuwapa darsa ndogo ndogo, au hamjalipenda hilo?
 
@imhotep mimi najua wewe ni nape na nape ni wewe,
Yaani huwaga nacheki halafu nasema hhiiiiiiiiiiiiiii
Yaani watanzania wengi akili zao hua zinashikiliwa na tumbo.
Hata huyo mpiga debe siku maslahi yake yakiguswa ataungana na nyinyi.

Maendeleo hayana chama

imhotep usitake kuniambia hii post hujaiona.
 
Yule mbunge maarufu wa kufunga bao la mkono amesema anajutia tamko lake la bao la mkono na pia kuzuia bunge kurushwa live ilikuwa ni hoja yake dhaifu ya kisiasaView attachment 1026228

In God we Trust
Alifikiri anwakomesha wapinzani, leo ni spent force!

No one cares about him! Angesimama upanɗe wa haki asigejuta kwa kuwa asingekuwa peke yake!
 
Nchi hii haina wanasiasa mi naona wote ni wajasiriamali tu, nape mi nakuombea yakukute zaidi kwa ule uovu wako uliowafanyia watanzania ili na wewe uanze kuyaonja hapahapa yale mchungu uliyotuonjesha ulipokua na madaraka.

Maendeleo hayana chama
 
Nape kasema alivyosema na nimeewa lakini nami nipo katika kuwapa darsa ndogo ndogo, au hamjalipenda hilo?
Kwahiyo unaamini makosa ya kiuandishi hapa JF yataisha kwa wewe kukosoa uandishi tena huu ambao sometimes ni typing error tu?

Mwenyekiti wako japo ana PhD, lakini kutamka tu maneno ya kiswahili kwa ufasaha ni shida,sasa ndio iwe wa humu JF penye watu wa kila ina?Hii kazi uliojipa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Jitafakari upya!
 
Mtaweweseka sana - mtajaribu kumchonganisha lkn mtakwama - CCM ni imara kuliko kipindi chochote cha maisha yake
 
Usipo weza kuwapinga washangilie hata kinafiki
Nchi hii haina wanasiasa mi naona wote ni wajasiriamali tu, nape mi nakuombea yakukute zaidi kwa ule uovu wako uliowafanyia watanzania ili na wewe uanze kuyaonja hapahapa yale mchungu uliyotuonjesha ulipokua na madaraka.

Maendeleo hayana chama

In God we Trust
 
Mtaweweseka sana - mtajaribu kumchonganisha lkn mtakwama - CCM ni imara kuliko kipindi chochote cha maisha yake
Hayo maneno kayatamka yeye mwenyewe kupitia clouds tv hakuna mwenye muda mchafu wa kuwachonganisha maccm

In God we Trust
 
imhotep usitake kuniambia hii post hujaiona.
Yaani hawa watu wakiwa na madaraka hua wanajiona wao kama sio binaadamu wa kawaida, katika watu waliokua wanaongoza kwa mdomo mchafu, kiburi na dharau sidhani kama kuna aliekua anamfikia Nape, leo hii kitumbua chake amekitia mchanga ndio anajifanya kujiongelesha hayo ili kutafuta huruma, halafu hawa kenge dizaini ya nape wanapokua madarakani hua hawajifunzi kabisa kwa wenzao yalivyowatokea.
Mi kwa upande wangu naunga mkono juhudi za kumsomesha namba huyu kenge ikiwezekana wamnyang'anye hata huo ubunge halafu watafute kenge mmoja mpya aliyehamia kutokea upinzani apewe jimbo lake ili imuume zaidi na zaidi na ikwezekana wamfungulie hata kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na wamnyime dhamana aone mateso na machungu aliyokua anawasabishia watanzania kwa tamaa zake za madaraka.

Maendeleo hayana chama
 
Mtaweweseka sana - mtajaribu kumchonganisha lkn mtakwama - CCM ni imara kuliko kipindi chochote cha maisha yake
Hata Saddam àlikuwa akisema kuwa anawasagasaga maadui kwenye Geti la Bhagdaad.
 
Ma ccm sasa ndiyo mnaweweseka kutokana na rais mtarajiwa huyo hapo chini
Mtaweweseka sana - mtajaribu kumchonganisha lkn mtakwama - CCM ni imara kuliko kipindi chochote cha maisha yake
FB_IMG_1550477529716.jpeg


In God we Trust
 
Kumbe kuwafungulia kesi watu na kuwanyima dhamana ni mojawapo ya adhabu kwa wana siasa?[emoji1787]
Yaani hawa watu wakiwa na madaraka hua wanajiona wao kama sio binaadamu wa kawaida, katika watu waliokua wanaongoza kwa mdomo mchafu, kiburi na dharau sidhani kama kuna aliekua anamfikia Nape, leo hii kitumbua chake amekitia mchanga ndio anajifanya kujiongelesha hayo ili kutafuta huruma, halafu hawa kenge dizaini ya nape wanapokua madarakani hua hawajifunzi kabisa kwa wenzao yalivyowatokea.
Mi kwa upande wangu naunga mkono juhudi za kumsomesha namba huyu kenge ikiwezekana wamnyang'anye hata huo ubunge halafu watafute kenge mmoja mpya aliyehamia kutokea upinzani apewe jimbo lake ili imuume zaidi na zaidi na ikwezekana wamfungulie hata kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na wamnyime dhamana aone mateso na machungu aliyokua anawasabishia watanzania kwa tamaa zake za madaraka.

Maendeleo hayana chama

In God we Trust
 
Back
Top Bottom